Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Habari zenu wapendwa.mwenzenu nlijiona ngangali kinoumer, nikajidai na mimi kuingia chumvini weee!!. Nimeambulia kupata mafua hata sijui ni mafua ya aina gani. Nilikua nasikia chumvini kuna mafua nabisha. Duh! ile kitu ni noumer coz usiku pua zinapumua kwa zamu, kama moja inapumua nyingine inaziba. nmekoma na sirudii tena.duh!!.Mia
itakuwa ni mafua ya ........!
 
Yani wewe unaingia uwanjani unapigwa ngwara...eti sichezi tena mpira! ndio kujifunza huko, andaa mazingira mazuri piga mechi....
 
Kwi kwi kwiiiiiiiiiiiii .. figganigga ..'Kitu cha uvinza mwanawani .. Mia

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Lahaula. Weye jamaa angu usiombe nkeo apite anga zangu. Atakukimbia

kama umemfanyia hivo mkeo kumridhisha basi niseme umempa roho ya umalaya... Ni sawa na kujaribu kufikiria namba kubwa kuliko zote na yeye awe anaongeza moja, siku ukishindwa kumhudumia atahangaika sana kutafta mwingine kama ww mpaka akamkose atakua amesha kuletea kisonono cha kinywa
 
nyie ndiyo mnao sababisha magonjwa yasiyo tibika kutokana na tabia zenu hizo
 
kama umemfanyia hivo mkeo kumridhisha basi niseme umempa roho ya umalaya... Ni sawa na kujaribu kufikiria namba kubwa kuliko zote na yeye awe anaongeza moja, siku ukishindwa kumhudumia atahangaika sana kutafta mwingine kama ww mpaka akamkose atakua amesha kuletea kisonono cha kinywa

Rudia kwanza kusoma badiko lako. Utaona ulichoandika hakistahili kuandikwa ,
So kwa nini nishindwe? Why? toa sababu zinazoweza kusababisha nishindwe.
BTW !! Hayo ya kuhusu mkeo sijui nini i was joking.. Sinaga time na wake za watu so relax
 
haaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaa pole kwa kuiga vitu usivyo jua pakuanzia wapi haaaaaaaaaaaaa
 
duh,pole,siku ingine usipige vigelegele tena....hivi na ma-chicks wakishika mic wanaumwaga?
cc: Preta na Ciello
 
Last edited by a moderator:
Rudia kwanza kusoma badiko lako. Utaona ulichoandika hakistahili kuandikwa ,
So kwa nini nishindwe? Why? toa sababu zinazoweza kusababisha nishindwe.
BTW !! Hayo ya kuhusu mkeo sijui nini i was joking.. Sinaga time na wake za watu so relax

Kuna safari za kikazi, ugonjwa au streaa nikitaja chache(mhh sijarudia kuaoma nilichoandika bado)
 
Habari zenu wapendwa.mwenzenu nlijiona ngangali kinoumer, nikajidai na mimi kuingia chumvini weee!!. Nimeambulia kupata mafua hata sijui ni mafua ya aina gani. Nilikua nasikia chumvini kuna mafua nabisha. Duh! ile kitu ni noumer coz usiku pua zinapumua kwa zamu, kama moja inapumua nyingine inaziba. nmekoma na sirudii tena.duh!!.Mia

figaganigga tuachie sisi wazoefu bhana tunapiga chumvini mpaka magadi .............!:biggrin1::biggrin1::dance::biggrin1::biggrin1:
 
Back
Top Bottom