Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

jifunze kupitia mazara. faida zake ni kidogo na hazina maana. FIKIRIA KWA MAKINI NA UCHUKUE HATUA KALI TENA ZIWE CHANYA.
 
ukitafuta lesbia muda c mrefu unakua bwabwa, coz ukiwa unamfanyia maniaje niaje na ww atajiskia kukuingizia madole kwenye tundu, we tafta demu mwingine tu asee.
 
Yaani mtu anakupa mwili wake wote,anakuruhusu uuone uke wake,uushike uke wake kwa mikono yako,uutie vidole ndani,uutie na libolo ndani...bado hutosheki unataka kutia na ulimi?

Hebu ridhika na kuwa na shukran mkuu
 
Mkuu mtoto karudi kwao botswana na haji tena Tz mkataba wao kuishi hapa umekwisha, nateseka mkuu vibaya sana yani ile ladha naihisi mdomoni, hebu nishauri mkuu nifanyeje??

Kaka umetisha yaani hauhisi ladha ya vitu vyote ila ya ( ) tu. Ndio maana unaambiwa una pepo halafu unabisha .kwani kichaa anajijua kwamba n kichaa ?
 
Ulevi mbaya anadhan madhara yake yataonekana Leo .ohooo be care umeomba ushauri kwa maana kwamba unataka kuacha basi fanyia ushauri unaokuelekeza namna ya kuacha
 
Wale wa kuzama kunako..... Mmesikia kweli?
 
Ndorrobo wewe nenda katafute dawa upesi umeze ili hayo mafangasi yasiendelee kukuathiri.
Halafu ukija hapa jf kutuomba dawa ya mafangasi sugu .tutakutukana ukome
 
Ndorrobo wewe nenda katafute dawa upesi umeze ili hayo mafangasi yasiendelee kukuathiri.
Halafu ukija hapa jf kutuomba dawa ya mafangasi sugu .tutakutukana ukome

Huwa hawaskii hawa.......
 
NGONO YA MDOMO HUSABABISHA SARATANI YA KOO?

​



—
Ngono ya mdomo maarufu kwa kiingereza kama oral sex imekuwa ikiongezeka kwa kasi hasa kati ya vijana. Aina hii ya ngono hujumuisha kunyonya/kulamba sehemu za siri za mwanaume au mwanamke kwa lengo la kumridhisha kimapenzi. Pamoja na uzuri au umaarufu wake ngono ya mdomo huleta hatari ya kupata magonjwa kama ilivyo ngono za ukeni/kinyume na maumbile.

Tafiti zilizofanya hapa nchini na sehemu mbalimbali duniani zinaonesha kuwa ngono ya mdomo huongeza hatari ya mtu kupata saratani ya mdomo na koo, hasa kwa wanaume. Taasisi ya Saratani ya Ocean Road katika tafiti zake imeonesha asilimia 20% ya wagonjwa wa saratani ya mdomo na koo imechangiwa na ufanyaji wa ngono ya mdomo.

Saratani ya Mdomo na Koo Ni Nini?


Saratani ya mdomo na koo ni aina ya mabadiliko ya seli ambazo hukua bila kudhibitiwa na mwili. Huathiri sehemu za mdomo, koo, kisanduku cha sauti na mrija wa chakula.

Ngono ya Mdomo na Saratani ya Mdomo na Koo


Licha ya kuwa na visababishi vingine, tafiti zimeonesha kuwa ngono ya mdomo huchangia kutokea kwa saratani ya mdomo au koo.
Je, ni nini katika ngono ya mdomo husababisha hili?

Maambukizi ya virusi viitwavyo Human Papilloma Virus (HPV), ambavyo pia husababisha saratani ya shingo ya uzazi (cervical cancer), husababisha kutokea kwa saratani hii.

Maambukizi ya virusi hivi vya HPV hutokea kutokana na kufanya ngono zembe. Maambukizi haya huweza kuleta dalili na kusababisha ugonjwa wa zinaa uitwao genital warts, na kwa wengine usilete dalili kabisa lakini virusi vikaendelea kuishi kwenye sehemu zao za siri na kuambukiza wengine kwa ngono.

Virusi hivi hukaa kwenye majimaji ya uke kwa na shahawa, na hivyo katika ngono ya mdomo mtu hupata virusi hivyo ambavyo huenda kushambulia utando wa seli za mdomo au koo na hivyo kuweza kusababisha saratani kutokea baada ya miaka kadhaa. Ni

asilimia ndogo ya watu wenye maambukizi ya virusi vya HPV mdomoni au kooni kutokana na ngono za mdomo hupata saratani kutokana na virusi hivyo. Uwezekano wa saratani kutokea huongezeka zaidi pale mtu anapokuwa na tabia hatarishi nyingine kama kuvuta sigara au unywaji wa pombe kali.

Pia, tafiti zinaonesha kuwa virusi hivi huwa kwa wingi kwenye majimaji ya uke ukilinganisha na shahawa, na hivyo kuna hatari zaidi kwa wanaume kupata saratani ya mdomo au koo kutokana na kufanya ngono ya mdomo kwa wapenzi wao.
Tabia zifuatazo katika ngono ya mdomo huongeza hatari ya kupata saratani ya mdomo:

  • Kufanya ngono za mdomo na watu 4 au zaidi maishani mwako.
  • Kuanza ngono katika umri mdogo (chini ya miaka 18).

Athari Nyingine za Ngono ya Mdomo
.


Ngono ya mdomo inaweza kusababisha kuambukiza magonjwa ya zinaa kama kaswende, kisonono, klamidia na herpes. Maambukizi haya hasa hutoka sehemu za siri kwenda kwenye mdomo na koo.
Je, naweza kufanya ngono ya mdomo salama?

Ndio inawezekana. Na hii hasa ni pale ambapo hamna maambukizi ya virusi vya HPV wewe na mpenzi wako. Hatari ya kupata virusi hivi huongezeka kama mtu ana idadi kubwa ya wapenzi au amewahi kuwa na wapenzi wengi maishani mwake.
Njia nyingine ni;

  • kutumia kondomu ya kiume wakati wa kufanya ngono ya mdomo.
  • Kutumia dam (aina fulani ya plastiki laini ambayo hufunika sehemu za siri za mwanamke kuzuia maambukizi) wakati wa kufanya ngono ya mdomo.

chanzo.
www.afyamd.co.tz
 

Attachments

  • mixed_race_monkey_oral_sex_by_zearogravity-d4rrsyd.jpg
    113.1 KB · Views: 1,004
  • mouth_cancer.jpg
    11.2 KB · Views: 922
ZAIDI ya nusu ya vijana Duniani wanakumbwa na magonjwa mbalimbali yanayotokana na maambukizi ya virusi vinavyotokana na ngono zembe.

Kwa muujibu wa utafii uliofanywa na jopo la Madaktari nchini Marekeni umebaini kwamba, vijana wengi hususan Barani Afrika wanakumbwa na magonjwa ya kuambukiza kutokana na tabia ya kufanya ngono zembe na kunyonyana sehemu mbalimbali za miili yao.

Utafiti huo umebaini kwamba, vijana wengi wanapenda kuiga tabia zinazofanywa na baadhi ya watu mbalimbali wanaoigiza muvi mbalimbali duniani zikiwemo muvi za ngono.

Madaktari hao katika utafiti wao wamebaini kwamba, vijana wengi hupenda kunyonyana ndimi zao,sehemu za siri,makwapani sehemu za makalio kwenye matiti bila kujali kwamba, mwili wa binadamu unazalisha bakteria nyingi kila kukicha na kwamba bakteria hizo, huwa sumu pale zinapoingia kwa binadammu mwingine.

Katika hatua nyingine utafiti huo pia umebaini kwamba, kuna baadhi ya wanawake wanapenda kunyonya ndimi za watoto wao wakati wa kuwalisha vyakula, ama kuwabiga mabusu kila wakati bila kujali usafi wa vinywa vyao, kiasi cha kusababishi maambukizi ya magonjwa ya ngozi kwa watoto wao.

Kuhusu filamu hizo madakati hao walisema kwamba, watu wanaoigiza katika picha mbalimbali wanakuwa chini uchunguzi wa watalaam wa afya, kabla na baada ya kurekodi filamu, tofauti na watu wanavyo dhani kwamba wale kweli ndiyo tabia yao na pengine ni watu waliokutana na kuanza kunyonyana ovyo
 
Kudadadeki hiyo midonda mdomoni ni balaa.
Ila huyo wa kushoto ni kama ana vidonda mpaka kwenye macho sasa sijui aliingiza mpaka kichwa kiasi cha kuambukizwa mpaka machoni au ndo ugonjwa umesambaa mpaka machoni.
Ahsante sana kwa somo zuri sana hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…