Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhusu filamu hizo madakati hao walisema kwamba, watu wanaoigiza katika picha mbalimbali wanakuwa chini ya uchunguzi wa watalaam wa afya, kabla na baada ya kurekodi filamu, tofauti na watu wanavyo dhani kwamba wale kweli ndiyo tabia yao na pengine ni watu waliokutana na kuanza kunyonyana ovyo
Kudadadeki hiyo midonda mdomoni ni balaa.
Ila huyo wa kushoto ni kama ana vidonda mpaka kwenye macho sasa sijui aliingiza mpaka kichwa kiasi cha kuambukizwa mpaka machoni au ndo ugonjwa umesambaa mpaka machoni.
Ahsante sana kwa somo zuri sana hili.
hatare
Hii kampeni dhidi ya chumvini nayo imepamba moto.
nyie ndo mnatusababishie
nimewatukana hapo juu kwa ujumla wenu aaaaah mi ntaendelea na ushamba wangu tu, usiporidhika nenda tu kwa mwingine kiroho safi aisee
Kwa sababu humu ni watu wazima na hakuna haja ya kuficha na ili tupone,kuna virus vijulikanavyo kama Human papiloma pamj na systemic according to Dr Innocent Mosha kutoka muhimbiri imebainika virus hivyo husababisha kansa ya mdomo ambayo chanzo chake hutokana na kufanya mapenzi kwa njia ya mdomo yaani kunyonyana sehemu za siri iwe kwa me au ke,unaweza usione hatari yake kwa sasa ila baadae sana,tuone picha za madhara yake hapo chini.