Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Hivi ukizama raha anapata mzamaji au mzamiwa?
Kwan ww ukimneza abdala kichwa wazi inakuwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ukizama raha anapata mzamaji au mzamiwa?
Wengine ndio starehe zetu
Kwan ww ukimneza abdala kichwa wazi inakuwaje?
Sijawahi na sina mpango huo
Aaaah kama msafi nazama tu chumvini
Inaitwa anazamishwa SUKARINI!Hivi hata KE akila koni ni kuzama chumvini?
maninaa km kugongewa nigogengewe tuu...makuu silambi ata uje na jambia...kuitazama tuu kwenyew smtms yataka moyo je kuilamba!!
Wewe kinda tu kuluka huwezi ukikua utajua kwa nini watu hatuachi hiyo kitu yenye madini joto
Uuupsi haya magonjwa ya kujitafutia shida
Kwani gegedo halitoshi
Mahaba niue mie...,lolMtu kunywa kunywa milenda sio ufala ila kupenda nzi kufa kwenye kidonda sio ufala ila kupenda naimba tu
WHO kwa kushirikiana na OCEAN ROAD HOSPITAL wamefanya risech na inaonesha idad kubwa ya wahanga ni vijana wa umri kati ya 25+,na imeonesha kuwa weng hufanya haya mambo ili kuwaridhisha wapenz wao,utafiti huo uliwah kuripotiwa na gazet la mwananchi la 25 dec mwaka jana na post ya hiyo habar ipo humu,kama mtu anaweza aitafute tu
yaaa
am keep on waiting ujue.
Eti watu8, Cancer inasababishwa na Virus?
Si kansa zote zinazosababishwa na virusi mkuu isipokuwa kuna baadhi yake husababishwa na virusi...
Kinachofanyika ni kwamba baada ya mtu kupata viral infection mathalani kama hii ya HPV...
DNA katika virus huweza kuchanganyika na human DNA, na possibly yakafanyika mabadiliko yenye kupelekea ukuaji na uongezekaji wa cells mpya (ambazo zina sifa zote za kansa)...
Kama utapata muda soma mtandaoni kitu kinaitwa "oncovirus"...
Ina raha yake hiyo kitu,lakini hafanyiwi kila mtu,na mkiwa faragha lazima mfurahishane kisawasawa sio kwakuripua,mdogo mdogo hadi mwenzio anaisikilizia..............lol
Umenigusa ndipoooo yakheeee! Nakupa LIKE zote utakazoo,...