Coke Zero
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 1,024
- 542
mambo yapi sasa?!
Sasa unaogopa nini mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mambo yapi sasa?!
Mkapime afya kinagaubaga kabla ya kufanya hivo vitu mnavyoiga. Kuna vimelea vya kawaida maeneo hayo lkn vikahamia sehemu nyingine husababisha ugonjwa mf. Fangas za kinywa, na iwapo mwanamke ana maambukizi ya HPV hii itakuwa sababu ya kansa ya koo lako na ukweli ni kwamba watu wengi wameambukizwa HPV lkn hawajui.
Nmekuelewa mkuu ila Nina swali, mimi nina mpenz wangu natarajia kumuoa mda so mrefu ni vibaya nikiwa namuingilia chumvini au itakuwa ina madhara ata kwa mke wangu embu nipe data kidogo
Mmmh,sijui?ila kuacha ni ngumu jaman!sema ka alivosema mtaalamu,kuwa na mtu mmoja mnaeaminiana na msaf,chumvin kuna utamu wake jaman,ka nusu pepo yan!
Mwanzo skujua kwa nn panaitwa Chumvini, nilihic ni jina2 kumbe lina implication flani bwana. Nimejua hilo hv majuz.
Hivi huu utumwa wa kifikra kudhani kila kitu 'kitamu' au 'kizuri' basi asili yake sio sisi na tunaiga tuu toka kwa 'wazungu' au sehemu nyingine za dunia itaisha lini? Cunnilingus haijaanza leo ati, ipo centuries na centuries...just because wenzetu (hasa waHindi) walidocument kwa maandishi na michoro haina maana hao ndio waanzilishi na sisi wagiaji tu! Kuna evidence gani kuwa sisi (waAfrica/waTanzania) tukipeana raha kwa mtindo huo basi tumeiga? Au kwa sababu hatutengenezi 'porno' tukasambaza dunia nzima basi tumeiga!
Cha muhimu ni kufuata ushauri wa kitaalam alioutoa Sizinga (Thanks) ili tusipate madhara aliyoainisha, lakini sio kusema we dont deserve that pleasure sababu tu ni kuiga!
Sasa unaogopa nini mkuu
Tunanyimana raha duniani
we unatumiaga style gani ya arousal?Hii inatokana na miili kuwa ya baridi, mtu hupati joto/hamu hati wakutafunetafune, loo..!
Madhara ni yale yale hata akiwa nani.
Siku ukiacha utapata tuhuma za usaliti, usifanye vitu kama hutaki kuendelea
Nimeisoma na nimeielewa ila imeninyima raha aisee.
I love that much na sijui itakuwaje. nipe njia mbadala
Kuna mdau humu alikua anaitwa
Zahra White hivi yuko wapi tena?