Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Sasa kuna wengine hawapendi kabisa kufanyiwa hayo mambo wanadai hawapendi na hawasikii chochote. Niliposoma kuhusu hili likiandikwa na Wanawake wengi waliokuwa wanachangia katika mjadala wa muuliza swali kama wanawake wote wanapenda kufanyiwa hivyo nilishangaa sana (maana miye nilidhani kila mwanamke anafurahia kitendo hicho). Mtandao unaanika mambo mengi ambayo miaka ya nyuma yalikuwa ni siri kali.

dah! Basi basi inabidi wakati wa kuvuta jiko niwe makini sana na udadisi wa hali ya juu nisijeweka ndani kisicholika but mm nadhani asilimia kubwa wanapenda hii kitu.juzi juzi nilikuwa napiga stori na bro wangu mmoja yeye akaseam kuwa akimkuta mke wake amevaa kikamba basi ni talaka hapo hapo kwa sababu zile wanavaa malaya. Nilicheka sana na nikajua kila mtu anaitikadi zake, kwa sababu kama mimi nikiona kikamba mashalaaa basi roho yote yataka kunitoka ,so nakubaliana na wewe kuwa hata hawa nduguze eva wana itikadi zao na zinatofautiana.
 
Yes, oral sex is sex, and it can boost cancer risk

Here's a crucial message for teens: Oral sex carries many of the same risks as vaginal sex, including human papilloma virus, or HPV. And HPV may now be overtaking tobacco as the leading cause of oral cancers in America in people under age 50.

"Adolescents don’t think oral sex is something to worry about," said Bonnie Halpern-Felsher professor of pediatrics at the University of California, San Francisco. "They view it as a way to have intimacy without having 'sex.'"
Halpern-Felsher and other researchers presented the latest information about the risks of contracting an HPV infection Sunday at the American Association for the Advancement of Science annual meeting.

The latest data suggest that 64% of oropharynx cancers - growing in the middle part of the throat - in the United States are caused by HPV, which is more than tobacco causes, said Maura Gillison of Ohio State University. And as the number of partners on whom you have performed oral sex goes up, the risk of oropharnyx cancer goes up.

source: Yes, oral sex is sex, and it can boost cancer risk – The Chart - CNN.com Blogs

My take:
Bongo naamini hii kitu itakuwa noma...jamani tafajari na chukua hatua.​
 
Kwa raha anayopata mwenzangu ziwezi kuacha kumshukia chumvini na kama wanavosema wataalamu hapo juu tatizo ni kuwashukia chumvini kila unaekutana nae,tuzingatie usafi na kuwa na partner mmoja tu.
 
Yes, oral sex is sex, and it can boost cancer risk

Here's a crucial message for teens: Oral sex carries many of the same risks as vaginal sex, including human papilloma virus, or HPV. And HPV may now be overtaking tobacco as the leading cause of oral cancers in America in people under age 50.

"Adolescents don't think oral sex is something to worry about," said Bonnie Halpern-Felsher professor of pediatrics at the University of California, San Francisco. "They view it as a way to have intimacy without having 'sex.'"
Halpern-Felsher and other researchers presented the latest information about the risks of contracting an HPV infection Sunday at the American Association for the Advancement of Science annual meeting.

The latest data suggest that 64% of oropharynx cancers - growing in the middle part of the throat - in the United States are caused by HPV, which is more than tobacco causes, said Maura Gillison of Ohio State University. And as the number of partners on whom you have performed oral sex goes up, the risk of oropharnyx cancer goes up.

source: Yes, oral sex is sex, and it can boost cancer risk – The Chart - CNN.com Blogs

My take:
Bongo naamini hii kitu itakuwa noma...jamani tafajari na chukua hatua.​
duuh...........kunyimana utamu huku.
 
Duh wengine ndo kama kupiga mswaki asubuhi nikiwa na maana lazima kabla ya mambo yote...wallah
 
Kwa raha anayopata mwenzangu ziwezi kuacha kumshukia chumvini na kama wanavosema wataalamu hapo juu tatizo ni kuwashukia chumvini kila unaekutana nae,tuzingatie usafi na kuwa na partner mmoja tu.
..Kwa kweli si salama hata kidogo kuingia chumvini kwa kila mlupo. Lakini ukiwa na mlupo wako angalau unauamini si vibaya angalau akiwa amepitisha maji moto na mambo mengine katika kutunza mazingira....ah!!! naingia mgodini kama kawa!!!
 
Duh wengine ndo kama kupiga mswaki asubuhi nikiwa na maana lazima kabla ya mambo yote...wallah

Aliwahi kutamka Salama J yule wa bongo staaaaaa sechi wakat anaendesha kipindi cha chombeza time Radio Wani. Alisema hivi "Wadada wenzangu tunaopenda kupata m-nyonyo kabla mzee hajaenda kazin, tukumbuke kuwafunga zipu basi, au sio "
 
mhh msitunyime raha jamani maana,na nyie mnaowaosha wanawake wenu na maji ya moto kwani kuku hao mnataka kuwanyonyoa ebooo:rain:
 
Ndugu wa jf wenzangu,eti kwenda chumvini kunakofanywa na baadhi ya wanaume kuna faida gani?na kwa nini watu wanaenda chumvini?kwani kuna nini huko?
 
cr_p!

hivi ni lazima kuanzisha thread hata kama huna hoja?
 
Kupeana raha tu.:rain:

Wataalamu wa masuala ya afya wanasema kwenda chumvini kuna madhara makubwa,hivyo kama unaenda acha kabisa ili kujinusuru na magonjwa mbali mbali.
 
Back
Top Bottom