Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Eti kuna mzee mwenzangu anasema kama hujaenda uvinza, mke/demu/kicheche wako hawezi kuamini kama unampenda kweli! Duu! wana JF mnasemaje?

sounds nasty kwa ulivyoi-present.
 
Wapendwa naomba kukopi swali langu hapa (japo nime edit kidogo) ambalo niliuliza kwenye post ya Mr Chabo maana topic zinafanana. Am sorry kama nitadistract mjadala.

quote_icon.png
Originally Posted by Mr Chabo

1 Nimeachana na wapenzi wawili. Moja alifahamu uhusiano wangu na huyo ndingi, wapili alikuta
chembe chembe za big haja kwa kufuli yangu



Jamani mie nimekuwa najiuliza siku nyingi lakini sikuwa na ujasiri wa kumwuliza mtu lakini pengine leo ndio naweza kusema naanza kupata majibu unless niambiwe sivyo.

Nimekuwa najiuliza "Wenye kupenda kuzama kwenye tiGo wanatumia kondomu"????
Kama wanatumia how does it work maana kule hakuko na vilainisho kama ilivyo sehemu sahihi ya kufanyia tendo la ndoa na wataalam wanatuambia usiivae (kondomu) ndani/nje wala kuongeza/kuipaka mafuta.
Kama nakosea nielewesheni jamani!!!!!

Sasa kama Mr Chabo kabambwa na chembe kwenye kufuli inamaana huwa anazama bila kinga.
Ninachoogopa hapa si tu tabia yake ya kwenda mlango wa nyuma bali hatari ya maambukizi ya virusi vya ukimwi.


Mlango wa nyuma kaka! watu wanaenda ng'adu!
 
Angalia mkuu si kila mashine ya kuzama uvinza unaweza babuka mdomo

Suala muhimu sana hili! Usafi na afya ya sirini ya muhusika ni muhimu sana. Kuna jamaa alibabuka ulimi kwa fungus, baada ya kumhoji tuligundua ni mambo ya uvinza na kuzama topeni! Mpwa kuwa makini
 
chumvini ni moja kati ya harakati za kumfikisha mwenzi kule anako taka fika
sasa kama ikichukuliwa kuwa ndo alama ya mapenzi mh!
mi nadhani we kukuruka unavyojua ukiweza kumfikisha anakotaka basi naamini utakuwa umemuonesha jinsi unavyompenda.....
manake kukwea vilele si mchezo.....sasa ka mtu humpendi mh!
 
Angalia mkuu si kila mashine ya kuzama uvinza unaweza babuka mdomo

Yaani nyuchi zingine unakuta zina maukoko ukoko alafu mtu anaingiza liulimi lake aaaagggrr kwa nini asibabuke mdomo hapo kwa fungus
 
Kwa mkeo unaweza kwenda chumvini kama yeye anapenda uwe unamfanyia hivyo kwani mtakuwa wasafi,ila kwa demu au kicheche si jambo jema maana huwezi jua anatoka na nani au katoka kufanya nini huko alikotoka kaja kwako unaishia kuzama uvinza eti ndio kumuonesha unampenda,matokeo yake unajikuta unapata magonjwa ya ajabu hasa fungus.
Unaweza kumuonesha mwanamke kuwa unampenda bila ya kwenda chumvini.

Chumvini huwa wanapagawa zaidi....wanaruka pembe nne zote.....ila kuna ufundi pia wa namna ya kulamba sio unabugia tuuu kama vitumbua....
 
wewe speaker ndiyo unaanza uchochezi! Poole sana kwa kuelewa vibaya thread hii! Sina lengo hilo unalosema hata kidogo

jamani huwa mnatuhurt sana kutuita majina ya ajabu. Badilikeni plz.
 
]kicheche nae unamwendea[/COLOR] uvinza...enhh we chibkooooo
POST YAKO INA MANTK LAKIN UNGEBADIRI LUGHA ..INGEPENDEZA..
inasaund ina udhadhalilishaji...

kama ndio ivo basi anafanya kazi ya kulamba madudu ya watu kila siku lakini ndio matatizo ya kuangalia movie za kikubwa ukubwani
 
we all know that TIGO ni dhambi na vitabu vyote vya dini vimekataza,na wala siwezi kuandika na kuishabikia TIGO na nina laani kwa kila anayefanya.
ila maswala ya kwenda chumvini hakuna aliyekataza, si quran wala biblia,maana kuna wengine watakuja kusema hapa hata kuishika dhambi, ndio nyie mnaobaka wakezenu bila ya kuwaanda.
ndio maana ya maendeleo, sio kwenye technology tu,hata kwenye mapenzi, ndio maana watu wametoka kwenye kifo cha mende mpaka kwenye chura kiwete.
mwambie huyo mwenzako ampe raha mkewe as long as ioshwe itakate.

Sodomy (pronounced /ˈsɒdəmi/) is a term used in the law to describe the act of "unnatural"[1] sex, which depending on jurisdiction can consist of oral sex, anal sex, or any non-genital to genital congress, whether heterosexual, homosexual, or with human or animal.[2]


Wikipedia.


[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,Swiss,SunSans-Regular]Let marriage be held in honor among all, and let the marriage bed be undefiled; for fornicators and adulterers God will judge. Hebrews 13:4 [/FONT]
 
Iko jamaa analalamika wife wake anataka alambe tunda- 'oral'.

Nimemwambia hiyo kitu ni dhambi mkuu, uumbaji wa Mungu hauruhusu hayo mambo. Na pia kuna magonjwa, unaweza kupata fangas ya mdomo..

Lakini anasema wife wake alalamike mbona yeye alamba koni bila tatizo?

Duh hebu tumpe huyu jamaa shule na wengine wenye tabia ya kuharibu mipango ya Mungu.

Unauliza au unajua unacho wasilisha hapa?
kama ni mke wake watafika muafaka tu,bora wafurahishane ndo democracy in love
 
Kuna haja ya ku raise awareness kwa kutumia visuals kuhusu madhara ya oral venereal diseases. Nadhani watu wakiona picha za jinsi midomo inavyoathirika na kusikia ushuhuda wa wahanga wanaweza wakafikiria mara mbilimbili kufakamia hizo sehemu za siri.
 
Rrrramba kote, kwani nn, kansa sijui nini temana nazo, at the end of the day mtu atakufa tu so enjoy maisha kwa kadri uwezavyo. Wazungu wanapiga tigo mbaya na mambo yao saaafi.
 
Bwana eh hata kama ni usawa wa kijinsia unaopigiwa kelele, ile mophology ya k and the contents plus the surrounding yahitaji ushujaa kweli kweli kuisogezea mdomo wako. Wanawake hebu kubalini ukweli wakati fulani na si kuimba usawa tuuu kwa kila kitu, kuleni mic mkipenda(ni kama kidole tu hicho) ila si vizuri jamaa amwagie zile kitu mdomoni.

Msimamo wangu, ninachezea k kwa namna mbalimbali lakini siji shusha mdomo wangu kule kwenye k, kama ni demu/mke kuniacha na aniache, kama ni kotoka nje ya ndoa na atoke tu.

uwiiiiiiiiiiiiiiiiii
kwei duniani tunatofautiana ..mimi nisipoenda kule ni kama kipepe kusahau rungu lake .. Au ni kama makamba bila nundu usoni
wewe jamaa naomba niwe jirani yako mtaani .leh!
 
Madhara yake baada ya virus kutoka ukeni na kwenda mdomoni kunauwezekano mkubwa kupata kansa ya koo!

nani kapata? Wekeni picha yake hapa tusinyimane raha hapa ebo... Wadada mm natangaza kabisaaaa kuwa hii kitu ya kwenda uvinza na mimi ni damu damu na sijaoa bado.. Kwanza huyo wife atakusababisha ulimi wangu uote sugu kwa kumpigia vigelegele..
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiii
kwei duniani tunatofautiana ..mimi nisipoenda kule ni kama kipepe kusahau rungu lake .. Au ni kama makamba bila nundu usoni
wewe jamaa naomba niwe jirani yako mtaani .leh!

Sasa kuna wengine hawapendi kabisa kufanyiwa hayo mambo wanadai hawapendi na hawasikii chochote. Niliposoma kuhusu hili likiandikwa na Wanawake wengi waliokuwa wanachangia katika mjadala wa muuliza swali kama wanawake wote wanapenda kufanyiwa hivyo nilishangaa sana (maana miye nilidhani kila mwanamke anafurahia kitendo hicho). Mtandao unaanika mambo mengi ambayo miaka ya nyuma yalikuwa ni siri kali.
 
Back
Top Bottom