Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

sio salama ikitokea manyoya yakaingia kwenye mfumo wa hewa au mapafu,utatumia dawa zote za vikohozi na hata kifua kikuu bila kupona,na kila utakapokuwa unakohoa kila mtu aliye karibu nawe atakushangaa.

Sasa Wewe unainyonya au unaitafuna,,!![emoji3]
 
Na kwa anyejua kunyonya mwanamke halambi majimaji yale yeye ana deal na kisimi tu ndo chenye hisia mengine kama umelamba kidole tu
 
Kansa Za koo
Mdomo kunuka kama Choo na mengine mengi
Kama huyo mwanamke hata ridhika Katika maandalizi ya kawaida akate gogo la msonobari achomeke huko
Balaa ni pale unajifanya kunyonya kumbe kuna Jamaa katoka kupewa masaa3 yaliopita na Kala kavu
Sasa una kuwa huna tofauti na kunyonya na kumeza sperm Za men mwenzio
Hii miwanawake saa nyingine haina huruma
 
Ndugu zangu nimeona mjadala unsohusu unyonyaji wa uchi kama kumuandaa mwanamke kwa mapenzi. Je ni sahihi? He ni salama? He uwepo wa acid uliopo ukeni ni sahihi kwa usalama wa vinywa vyetu? He ni mapenzi au ulafi wa kungonoka? Je si sababu ya matatizo ya vinywa vinavyowatafuna vijana wengi kwa sasa?? Je kumtongoza mwanamke kwa njia za kistaarabu na kumpapasa haitoshi kuwa njia pekee ya kumuandaa mwanamke kwa mapigo ya uanaume??


Mkuu mleta mada, wale uwaonao kwenye sinema za porn ni waathirika wa madawa ya kulevya......wanakula madawa kabla ya kufanya yale wayafanyayo. Kwa akili yako tu hapo ulipo, wewe unaweza lamba mku.ndu wa mwanamme mwenzako au mwanamke kabla ya kumshikisha ukuta? Fikiria umemkojolea mwanamke na kumwagia shahawa mwilini kisha unalamba, inakuja kichwani mwako? Na ya nini ulambe mavi au shahawa, una njaa ya kula uchafu? Usipende kuiga vitu kama nduguzo wa bongo fleva, kazi ya kukopi na kupaste vitu.
 
Kwa nini unyonye uke?

Kwa akili yako unaona kuwa uke uliumbwa kwa minajili ya kunyonywa?
 
Mbona wanawake awacomment hii. Kama ni mkeo wee fyoza tu. Kama ni wakina naniii au Malaya usijaribu. Labda use na uhakika na afya yake.
 
Ukiwa na asali yako ya nyuki mbichi inapendeza zaidi,unamiminia mgodi kwanza. maana ile ni antibiotic na sterilaiza. alafu inanyutrolaizi ile ladha ya chumvichumvi.Kuzamia lulu si jambo baya alimradi unafanya kwa mwandani wako unayemwamini
 
Kunyonya uchi ni salama kwa UCHI WA MZUNGU ila kwa UCHI wa Mtu mweusi hasa mbongo si salama kwa sababu wa mzungu una vanila na ila wa mbongo una HCL acid
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ndugu zangu,

Nimeona mjadala unaohusu unyonyaji wa uke kama kumuandaa mwanamke kwa mapenzi. Je ni sahihi? Ni salama?

Je uwepo wa acid uliopo ukeni ni sahihi kwa usalama wa vinywa vyetu?

Je ni mapenzi au ulafi wa kungonoka?

Je si sababu ya matatizo ya vinywa vinavyowatafuna vijana wengi kwa sasa?

Je kumtongoza mwanamke kwa njia za kistaarabu na kumpapasa haitoshi kuwa njia pekee ya kumuandaa mwanamke kwa mapigo ya uanaume?
S salama,ukitaka kujua s salama ngoja upate Hypopharyngeal carcinoma secondary to HPV Infection maana mwanamke anaweza kuwa na vimelea
 
Back
Top Bottom