Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Hayo mambo ni siri za ndani alafu inategemea na demu mwenyewe , acheni tu kuna mademu smart tena wasafi, huwezi acha kumpa vitu vya uhakika hayo mambo yanahitaji utulivu.
 
Sio kila mwanamke anafaa kunyonywa..
Ila ukimpata yuke anayejua kuusafisha uchi wake ambapo ukipeleka tu pua husikii harufu basi utaenjoy sana..
Tena ukute kajifukiza na yake mambo yetu ya udi..
Hutotamani kutoka..

Mi nishakuwa addicted hiyo kitu.
Bora aninyime gemu ila kunyonya asininyime kwa kweli[emoji39][emoji39].
 
Chumvini sio kuzuri kabisa.......fangasi nje nje !!
Na hivi Watz aka Waafrika issue za body hygiene hatujui basi ni balaa...yaani hatuna utamaduni wa ukichukua mzigo kabla ya kugegedana kuwepo na zoezi la kuoga kwanza
 
Na hivi Watz aka Waafrika issue za body hygiene hatujui basi ni balaa...yaani hatuna utamaduni wa ukichukua mzigo kabla ya kugegedana kuwepo na zoezi la kuoga kwanza

Hatari sana mkuu, unaweza kwenda uvinza kumbe mwanamke ana magonjwa hatari huko chini, Hizi video za porno zinatuharibu sana.
 
Nilishawahi zama chumvini kwa mpenzi wangu,miaka ya nyuma,baada ya zoezi,mdomo ulichange kabisa test,koromea likawa kama lina chumvi chumvi hivi!! Hadi leo huo mchezo siutaki kabisa na wala sihitaji hata ku practice
 
Habarini wanajf, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, Kifupi siwezi kumgegeda mwanamke bila kuzama chumvini kadri siku zinavyozidi kwenda naona tabia hii inazidi kuwa sugu. Je kuna madhara yoyote pindi unaponyonya sehemu za siri za mwanamke? (kuzama chumvini) naombeni ushauri wenu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka kuna STD's na pia wanasema kansa ya koo yaweza kuwa inasababishwa kwa namna moja au nyingine na tabia hiyo kwa wale wenye wanawake wengi.
 
Habarini wanajf, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, Kifupi siwezi kumgegeda mwanamke bila kuzama chumvini kadri siku zinavyozidi kwenda naona tabia hii inazidi kuwa sugu. Je kuna madhara yoyote pindi unaponyonya sehemu za siri za mwanamke? (kuzama chumvini) naombeni ushauri wenu!

Sent using Jamii Forums mobile app
mmmmh subiria wazamaji wazoefu watakupa majibu fasaha juu ya madhara ya huo mchezo
 
Back
Top Bottom