ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,340
- 4,086
Kuna wengine wanalamba mpaka 0713
Masikhara hayo mkuu! Kweli watu wamefikia hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wengine wanalamba mpaka 0713
Dogo bwana yaelekea mapenzi yamekukaa sana kichwani
Mwanamke huna haya..yani mwenzio anajidai kuonyesha maufundi wewe umekazana kutumbua mijicho tu?..au ana ulimi wa chumaa??
ni part ya maisha yangu kumbwa....
teh tehHakuna raha yoyote tuipatayo zaidi ya kutaka kuwaridhisha wapenzi wetu. Na ndio maana tunaenda kwa wale tuwapendao na ambao pia ni wasafi.
Kwenda chumvini kunahitaji moyo mgumu na shupavu kama wa Mugabe vinginevyo waweza tapikia kwenye kikojoleo cha binti wa watu.
Ile makitu ni tamu lakini ina sura ya kutisha am telling you me.
Ngoja niwahi sakramenti kwanza
shindwa zubedayo mchuzi...shindwa katika jina la....o shiit nimekosea...shindwa pepo...
Masikhara hayo mkuu! Kweli watu wamefikia hapo?
teh teh
sijui ni kipi kati ya hivyo, wewe unaonaje?
We unajua...useme..kwanin guy alipagawa baada ya kuzama chumvini au nawe ulikuwa ktktk...zote starehe tu hzo.
Mambo mazito haya ngoja nisome kwanza!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kuna wengine wanalamba mpaka 0713
Ntake ladhi....kemea mashetani yanakunyemelea church.
Mkuu mashaka yangu ni aftermath! Sina hakika madaktari watatuambia nini, lakini wengi wanahisi kuongezeka kwa kansa haya ya kinywa (KS??) na koo ni matokeo ya kuzama chumvini ukizingatia maeneo hayo ni fertile kwa vijidudu kibao. Bora hata mleta mada asingeianzisha make wachangiaji wengi naona wanaongelea zaidi u-chanya (positivity) wake badala ya kutupatia hali halisi!
Haya ni mambo ya vijana, sie wazee tutayajulia wapi bana...!
kile kiarufu cha mgodini.... Natapika utumbo wa pig niliokunjwa na supu yake