Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Hakuna raha yoyote tuipatayo zaidi ya kutaka kuwaridhisha wapenzi wetu. Na ndio maana tunaenda kwa wale tuwapendao na ambao pia ni wasafi.

Kwenda chumvini kunahitaji moyo mgumu na shupavu kama wa Mugabe vinginevyo waweza tapikia kwenye kikojoleo cha binti wa watu.

Ile makitu ni tamu lakini ina sura ya kutisha am telling you me.

Ngoja niwahi sakramenti kwanza
teh teh
 
Mkuu mashaka yangu ni aftermath! Sina hakika madaktari watatuambia nini, lakini wengi wanahisi kuongezeka kwa kansa haya ya kinywa (KS??) na koo ni matokeo ya kuzama chumvini ukizingatia maeneo hayo ni fertile kwa vijidudu kibao. Bora hata mleta mada asingeianzisha make wachangiaji wengi naona wanaongelea zaidi u-chanya (positivity) wake badala ya kutupatia hali halisi!
Kuna wengine wanalamba mpaka 0713
 
but guys,this whole thing mapenzi is an art, kama utakuwa mbunifu mpenzi wako atakuganda kama ruba, mnaweza jikuta the whole day mna do bila kukinai..lol
 
Mkuu mashaka yangu ni aftermath! Sina hakika madaktari watatuambia nini, lakini wengi wanahisi kuongezeka kwa kansa haya ya kinywa (KS??) na koo ni matokeo ya kuzama chumvini ukizingatia maeneo hayo ni fertile kwa vijidudu kibao. Bora hata mleta mada asingeianzisha make wachangiaji wengi naona wanaongelea zaidi u-chanya (positivity) wake badala ya kutupatia hali halisi!

am not a medical personel,ila as long as partina ni msafi na hana infection sidhani kama ni tatizo.anyway ngoja madoc waje watupe mchango wao wa kitabibu
 
kile kiarufu cha mgodini.... Natapika utumbo wa pig niliokunjwa na supu yake

wakati wenzio wanafurahia hyo LOVE SMELL.. ah watu wanatofautiana taste lakini.. halafu jamaa akitoka chumvini mnakula denda.. ohh so sweet
 
Back
Top Bottom