Bado tatizo sio kuziba pekee, Abs zina fail safe procedures , check and balance , ndo mana kila mguu una sensor,
Procedure ya kwanza kabisa ni anti lock , hii inafanywa na sensor , tairi lisilozunguka maana yake ni kuwa halitakiwi kupata brake force.
Kwamba ulikanyaga breki halafu hydraulic solenoid ikashindwa ku release pressure kutokana na kuziba ? Hilo haliwezi kutokea , maelezo yake ni marefu sana , ila najua haiwezekani.
Chances kwa scenario yako
1, inawezekana rotor ilishindwa ku regulate pressure precisely.
2, kuna uwezekano kulifanyika modification kwenye pipes hasa zile flexible za miguuni.
3.Abs motor that rotates rotor,asks fo a lot of current during its operation, kama uliwahi kupeleka gari uchochoroni fundi akachezea waya kuna uwezekano pia motor haikuoperate efficienty ,ni kama vile uwashe gari wakati battery terminals zipo loose .