OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa ufupi sana,
CAF imezuia mashabiki wa Simba SC na timu zingine huko Afrika wasiingize mashabiki uwanjani. Lakini kidogo kidogo unasikia nchi zingine zimeruhusiwa ziingize idadi fulani. Nimesoma Al Hilal na Nkana wameruhusiwa idadi fulani.
Unajiuliza hivi sisi ngozi nyeusi tunatumia akili gani? Kwanini nchi zingine ziruhusiwe zingine zisiruhusiwe? Wametumia vigezo gani?
Taarifa zinaonyesha wanachama wengine wanaomba. Kwa hiyo hakuna standards badala yake mwanachama anaomba. Huu ni undezi. Hawaoni kama wanaleta vurugu?
Nini maana ya standards? Standards au viwango huwekwa na bodi mbalimbali kwa ajili ya harmonization na kuepuka mikanganyiko. Standards zinatakiwa zitumike na kila mwana bodi. Kama standards ni kutokuingiza mashabiki basi ilitakiwa ibaki hivyo, na kama ni kuingiza kiasi fulani basi ingebaki hivyo kwa wanachama wote. Unapolegeza masharti kwa baadhi ya wanachama unaleta mianya ya rushwa na upendeleo.
Nashangaaa Simba na TFF kwa nini wamechukulia poa jambo hili. Ama ni ile dhana ya nidhamu ya uoga au nao ni sehemu ya tatizo. Mnakubalije tusiingie uwanjani wakati controls za nchi dhidi ya Corona ni relaxed watu wanaendelea na shughuli zao?
Nasema tena, Afrika bado tuna safari ndefu ya kuimarisha taasisi zetu.
CAF imezuia mashabiki wa Simba SC na timu zingine huko Afrika wasiingize mashabiki uwanjani. Lakini kidogo kidogo unasikia nchi zingine zimeruhusiwa ziingize idadi fulani. Nimesoma Al Hilal na Nkana wameruhusiwa idadi fulani.
Unajiuliza hivi sisi ngozi nyeusi tunatumia akili gani? Kwanini nchi zingine ziruhusiwe zingine zisiruhusiwe? Wametumia vigezo gani?
Taarifa zinaonyesha wanachama wengine wanaomba. Kwa hiyo hakuna standards badala yake mwanachama anaomba. Huu ni undezi. Hawaoni kama wanaleta vurugu?
Nini maana ya standards? Standards au viwango huwekwa na bodi mbalimbali kwa ajili ya harmonization na kuepuka mikanganyiko. Standards zinatakiwa zitumike na kila mwana bodi. Kama standards ni kutokuingiza mashabiki basi ilitakiwa ibaki hivyo, na kama ni kuingiza kiasi fulani basi ingebaki hivyo kwa wanachama wote. Unapolegeza masharti kwa baadhi ya wanachama unaleta mianya ya rushwa na upendeleo.
Nashangaaa Simba na TFF kwa nini wamechukulia poa jambo hili. Ama ni ile dhana ya nidhamu ya uoga au nao ni sehemu ya tatizo. Mnakubalije tusiingie uwanjani wakati controls za nchi dhidi ya Corona ni relaxed watu wanaendelea na shughuli zao?
Nasema tena, Afrika bado tuna safari ndefu ya kuimarisha taasisi zetu.