changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Hapo awali kuna timu gani nyingine ukiachana na Simba, imecheza mechi zake huku wakiruhisiwa mashabiki kuwepo uwanjani? Hivyo saivi wamewaruhusu kwavile hawakuwa wanaingiza mashabiki hapo mwanzoni hivyo wamewaruhusu kwa idadi ndogo ya mashabiki. Hata hao wanaocheza nao wakiomba kuruhusiwa idadi kadhaa ya mashabiki watakubaliwa kwa idadi ambayo CAF wataona inastahili. Kwahiyo hata Al Ahly anacheza na As Vita, Congo wanaweza kurusiwa kucheza na mashabiki kadhaa huko Misri.ni jibu kwanza swali hili. mechi ya simba na el mereck pia as vita timu za nyumbani hazikuwa na mashabiki je yalikuwa ni maelezo toka CAF?