Kuzuia mchanga wa dhahabu, Magufuli anastahili pongezi. Tusiishie kwenye madini tu, na gesi je?

Nafanya mapitio niliwahi kushauri nini, na sasa kinatokea nini, haya wajameni, mkataba umesainiwa, makinikia yanaondoka
Naitafuta ile clip ya mtu alijiapiza kuwa sasa mchanga hautoki!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…