Kuzuia mchanga wa dhahabu, Magufuli anastahili pongezi. Tusiishie kwenye madini tu, na gesi je?

Kuzuia mchanga wa dhahabu, Magufuli anastahili pongezi. Tusiishie kwenye madini tu, na gesi je?

Ivi tukisema kuwa waache kusafirisha huo mchanga alafu tujenge uwezo wetu wa ndani wa kuuchakata au hao wawekezaji wajenge hivyo viwanda vya kuchakata hapa nchini kuna makosa hapo
 
Tatizo washauri wa Rais wa sasa ni dizaini kama zako. Wakurupukaji.

Hakuna anaepinga zoezi ila taratibu na majadiliano vilipaswa kufuatwa.

Kinu cha kuchakata na kuchenjua dhahabu gharama zake ni Us $ 800m. Na minimum yrs to instal ni 5yrs.

Ushabiki wa vitu vya ajabu haupashwi.
Je una fahamu Capita Gains tax ACACIA ina lipa ni shs ngapi? Coz kulikuwa na majadiliano ya mgodi kuuzwa kwa US $ 4.4 billion.
Je unafahanu Loyalty ya ACACIA ni shs ngapi,
Je unafahamu Corporation Tax ya ACACIA ni shs ngapi?
Je una fahamu PAYE ya wafanyakazi ni shs ngapi?

Je unafahamu kuwa ACACIA kwa sasa imesitisha uzalishaji ni hasara kiasi gani kwa Taifa?

Je unafahamu mikataba ACACIA imesaini na serikali na hasara ya kuzikiuka/kuzivunja?
Akili fupi sana hizo we binadamu, loyalty sijui na ujinga gani ndiyo sababu tosha kuwaruhusu wapeleke mchanga ( wenye dhahabu nyingi kuliko ile inayoonyeshwa hapa ndani)?!!!

Kweli vyeti siyo muhimu. Umejaribu kueleza kwa videtail vya hovyo hovyo ukitaka watu waamini hivyo?!

Data za makaratasini haswa za watu wa madini nazifananisha na mainstream media ambazo kamwe haziwezi kukuambia ukweli. Sasa wewe endelea na hayo makaratasi yako.
 
Akili fupi sana hizo we binadamu, loyalty sijui na ujinga gani ndiyo sababu tosha kuwaruhusu wapeleke mchanga ( wenye dhahabu nyingi kuliko ile inayoonyeshwa hapa ndani)?!!!

Kweli vyeti siyo muhimu. Umejaribu kueleza kwa videtail vya hovyo hovyo ukitaka watu waamini hivyo?!

Data za makaratasini haswa za watu wa madini nazifananisha na mainstream media ambazo kamwe haziwezi kukuambia ukweli. Sasa wewe endelea na hayo makaratasi yako.
Tatizo wajinga ndio hujiona wajuaji hii Tz
 
Afrika uijuayo wewe kwani hakuna Afrika nyingine duniani. Wananchi wa Afrika wanalia kumtaka magufuli awe rais wao kwa kazi nzuri aifanyayo. Ukiwa mbabaishaji hapa Tanzania lazima utamchukia Magufuli tu, ishi kwa Amani na fanya kazi utaona raha ya Tanzania ya paradiso.
ni kweli dili za ubabaishaji zimeisha heshim mjini imerudi hata mashamba ya kahawa kule masama yanalimwa vizuri sasa na idadi ya watu dar imepungua.
 
Kuzuia kontena zenye mchanga wa dhahabu ni jambo jema. Hofu yangu kesi hii isije ikafanana na ya meli iliyokamatwa na kuzuiliwa kwa madai kuwa ilikuwa inavua samaki wetu na ambayo matokeo yake inasemekana tunadaiwa hela ya kufidia samaki tuliogawana na uharibifu wa meli na mengineyo. Mara hii serikali ichukue tahadhari ya kutosha.
 
Kama ni africa nnayoijua huyo rais wako mpaka sasa anashika namba mbili kutoka mkiani!


Wewe lia tu, ukitaka kuishi kwa Amani hapa Bongo fuata sharia. Umagumashi mwiso wake Mzoga/Chalinze...tunamuunga mkono Magufuli kwa kutaka kuleta Tanzania yenye maendeleo si ya shamba la bibi. Haya mapovu yanayokutoka ni madhara ya kutokuwa na rais miaka 30, wewe na mambumbumbu wenzio mliishi kiujanjaujanja tu na kuona shule haina faida, ona sasa unachemka. Rudi kijijini.
 
Afrika hakuna ndio maana tunapeleka Japan
P.
Kupeleka Japan isn't our choice as nation it is investors choice,them exporting to Japan doesn't mean that Africa has no any refinery plant, taking it far to Japan it may sometimes be hiding frm our investigators who may leak info to the gvt that it's not only 20% of gold,nickel and copper present in the exported concentrate, it maybe more than that.

So in whichever way possible let's support the movie than placing curses. It's very astonishing today we support these investors whom we had complaining for the past decades that are stealing our resources.

If u get time pay a visit to Buhemba gold mines and see the bardens these pipo hv left to our motherland.
 
Wanabodi
Hatua ya rais Magufuli kuzuia kusafirishwa kwa kinachoitwa mchanga wa dhahabu kupelekwa nje ya nchi kwa lengo la kulinda rasilimali za taifa, kitendo cha kishujaa cha hali ya juu sana kinachostahili pongezi za dhati kwa sababu kiukweli Tanzania lilikuwa ni shamba la bibi, tumekuwa tunaibiwa sana mchana kweupe kwa sababu hiki kinachoitwa mchanga wa dhahabu, kiukweli sio mchanga wa dhahabu bali ni makinikia ya dhahabu, ni gold concentrate yenye shaba na fedha, uwezo wa kutenganisha dhahabu, shaba na fedha, sio Tanzania hatuna, bara zima la África hatuna wala ulaya hawana. Wenye smelter ya uwezo huo ni Japan na China na Urusi ambao wanatumia umeme wa nuclear reactor.

Miongoni mwa vitu vizuri rais Magufuli alivyovitaja ni kujiapiza kuwa mchanga huo hautoki, hata kama tunashindwa kuusafisha mchanga huo, then ikibidi hata hiyo migodi ifungwe na ifungwe mpaka Tanzania tupate uwezo wa kuuyeyusha huo mchanga.

Huu ni uzalendo wa hali ya juu sana. Mwingine aliyefanya hivi ni Mwalimu Nyerere, alizuia kuchimbwa madini mpaka tupate uwezo, bahati mbaya alipoondoka na kuingia Mwinyi, akatoa rukhsa kuchimbwa kwa dhahabu yetu na kiukweli tumeishia kuibiwa kwa kupata peanut na wenye migodi wakikomba faida yote.

Pamoja na nia nzuri ya rais wetu, lakini tukubali tukatae Tanzania hatuna uwezo huo rais Magufuli aliodhania tunao, kati ya wazalishaji wakubwa wa Dhahabu duniani, Tanzania ni nchi ya 15. Kati ya nchi hizo 15, ni nchi 4 tuu za mwanzo ndizo zenye smelter zanye uwezo huo, hivyo kama nchi za Ghana na África Kusini zilizoko kwenye 10 bora hazijawa na uwezo huo, what are the chances ya Tanzania kujenga uwezo huo?. Mambo mengine jameni sio tunashangilia tuu kisha baadae tunakuja kurudi kule kule! .

Kuna vitu kuvifanya kunahitaji tuu nía ya dhati, na kuna vitu kuvifanya kunahitaji uwezo. Wachumi wa sekta ya madini tusaidieni, kwa umeme huu, na gold kiduchu hii kwa hizo smelter za uwezo huo jee Tanzania tunaweza? . Kama mikataba ya migodi hiyo huo ndio uliokuwa utaratibu wao, maamuzi kama haya yanamaana gani kwenye investment climate yetu? .

Kwa vile rais wetu ameonyesha nia kulinda rasilimali zetu, Tanzania tusiendelee kufanywa shamba la bibi, nashauri tusiishie kwenye mchanga tuu wa dhahabu, kwanini tusiende na kwenye gesi maana nako tunaibiwa!.
http://www.jamiiforums.com/threads/...anzania-tunaibiwa-mchana-kweupe.298561/page-3
Hakuna hata kitalu kimoja cha gesi kinachomilikiwa na Watanzania, kwa sababu hatuna uwezo wa kumiliki hata kitalu kimoja tuu!, sasa kama tumeshindwa hata kuchangishana mifuko yote ya hifadhi za jamii na mabenki yote kumiliki angalau kitalu kimoja tuu, what are the chances ya kumiliki gold smelter la nuclear power reactor?!.

Niliwahi kushauri
https://www.jamiiforums.com/threads...ye-uchumi-we-have-to-choose-or.1189637/page-3

Ili hizi zisije kuwa ni siasa tuu, Tanzania tunahitaji uniform standard formula na rules za kulinda rasilimali zetu zote kwa manufaa ya Watanzania na sio double standards kwa kuzuia tuu mchanga wa dhahabu huku gesi tunaibiwa, Tanzanite tunaibiwa, kwenye vitalu vya uwindaji, light aircrafts zinatua na kupaa huku no body cares zinabeba nini huku tembo wetu wakizidi kuyeyuka!.
To hell with mikataba ya kinyonyaji, to hell with wawekezaji majambazi wanaotuibia kwa kisingizio cha umasikini wetu, to hell with FDI dependence kwenye uwekezaji, tujenge uwezo kwa Watanzania kuijenga nchi yetu, kwa kutumia mitaji na rasilimali zetu za ndani kumiliki uchumi wetu, swali linabaki ni moja tuu "kwa kutumia nini from where and how? .

Paskali
Wanabodi
Hatua ya rais Magufuli kuzuia kusafirishwa kwa kinachoitwa mchanga wa dhahabu kupelekwa nje ya nchi kwa lengo la kulinda rasilimali za taifa, kitendo cha kishujaa cha hali ya juu sana kinachostahili pongezi za dhati kwa sababu kiukweli Tanzania lilikuwa ni shamba la bibi, tumekuwa tunaibiwa sana mchana kweupe kwa sababu hiki kinachoitwa mchanga wa dhahabu, kiukweli sio mchanga wa dhahabu bali ni makinikia ya dhahabu, ni gold concentrate yenye shaba na fedha, uwezo wa kutenganisha dhahabu, shaba na fedha, sio Tanzania hatuna, bara zima la África hatuna wala ulaya hawana. Wenye smelter ya uwezo huo ni Japan na China na Urusi ambao wanatumia umeme wa nuclear reactor.

Miongoni mwa vitu vizuri rais Magufuli alivyovitaja ni kujiapiza kuwa mchanga huo hautoki, hata kama tunashindwa kuusafisha mchanga huo, then ikibidi hata hiyo migodi ifungwe na ifungwe mpaka Tanzania tupate uwezo wa kuuyeyusha huo mchanga.

Huu ni uzalendo wa hali ya juu sana. Mwingine aliyefanya hivi ni Mwalimu Nyerere, alizuia kuchimbwa madini mpaka tupate uwezo, bahati mbaya alipoondoka na kuingia Mwinyi, akatoa rukhsa kuchimbwa kwa dhahabu yetu na kiukweli tumeishia kuibiwa kwa kupata peanut na wenye migodi wakikomba faida yote.

Pamoja na nia nzuri ya rais wetu, lakini tukubali tukatae Tanzania hatuna uwezo huo rais Magufuli aliodhania tunao, kati ya wazalishaji wakubwa wa Dhahabu duniani, Tanzania ni nchi ya 15. Kati ya nchi hizo 15, ni nchi 4 tuu za mwanzo ndizo zenye smelter zanye uwezo huo, hivyo kama nchi za Ghana na África Kusini zilizoko kwenye 10 bora hazijawa na uwezo huo, what are the chances ya Tanzania kujenga uwezo huo?. Mambo mengine jameni sio tunashangilia tuu kisha baadae tunakuja kurudi kule kule! .

Kuna vitu kuvifanya kunahitaji tuu nía ya dhati, na kuna vitu kuvifanya kunahitaji uwezo. Wachumi wa sekta ya madini tusaidieni, kwa umeme huu, na gold kiduchu hii kwa hizo smelter za uwezo huo jee Tanzania tunaweza? . Kama mikataba ya migodi hiyo huo ndio uliokuwa utaratibu wao, maamuzi kama haya yanamaana gani kwenye investment climate yetu? .

Kwa vile rais wetu ameonyesha nia kulinda rasilimali zetu, Tanzania tusiendelee kufanywa shamba la bibi, nashauri tusiishie kwenye mchanga tuu wa dhahabu, kwanini tusiende na kwenye gesi maana nako tunaibiwa!.
http://www.jamiiforums.com/threads/...anzania-tunaibiwa-mchana-kweupe.298561/page-3
Hakuna hata kitalu kimoja cha gesi kinachomilikiwa na Watanzania, kwa sababu hatuna uwezo wa kumiliki hata kitalu kimoja tuu!, sasa kama tumeshindwa hata kuchangishana mifuko yote ya hifadhi za jamii na mabenki yote kumiliki angalau kitalu kimoja tuu, what are the chances ya kumiliki gold smelter la nuclear power reactor?!.

Niliwahi kushauri
https://www.jamiiforums.com/threads...ye-uchumi-we-have-to-choose-or.1189637/page-3

Ili hizi zisije kuwa ni siasa tuu, Tanzania tunahitaji uniform standard formula na rules za kulinda rasilimali zetu zote kwa manufaa ya Watanzania na sio double standards kwa kuzuia tuu mchanga wa dhahabu huku gesi tunaibiwa, Tanzanite tunaibiwa, kwenye vitalu vya uwindaji, light aircrafts zinatua na kupaa huku no body cares zinabeba nini huku tembo wetu wakizidi kuyeyuka!.
To hell with mikataba ya kinyonyaji, to hell with wawekezaji majambazi wanaotuibia kwa kisingizio cha umasikini wetu, to hell with FDI dependence kwenye uwekezaji, tujenge uwezo kwa Watanzania kuijenga nchi yetu, kwa kutumia mitaji na rasilimali zetu za ndani kumiliki uchumi wetu, swali linabaki ni moja tuu "kwa kutumia nini from where and how? .

Paskali
Yaani njaa(mayalla) mbaya sana. Watch it
 
Mtu unaibiwa...alafu wajinga wanasema usitumie mabavu kuzuia wahalifu...zimo kweli wewe au wenyewe wamekushikia?


TATIZO hutaki kuliona TATIZO. TATIZO sio wawekezaji. TATIZO ni SERIKALI YA CCM iliyowekeana mikataba na Hao wawekezaji.

Huwezi kumruhusu mtu "KULALA NA MKEO" halafu ukalazimisha kumshika ugoni.
 
Back
Top Bottom