RED: Sio fair kumshambulia na kumwita mjinga mjinga.. Hii haim-define yeye tu, imeku-define hata wewe pia.
BLACK: Hajakujibu halafu unamshauri hapo hapo. Alikwambia anakaa mwenyewe?
MY TAKE: Kama unahisi anahitaji ushauri, muelimishe kwa upole. Huenda ana tatizo kweli, lakini kwa style hiyo kweli unamsaidia?
Sura kama baskeli!