Tetesi: Kuzuiwa kufanya Siasa kwa miaka 6, kisa Urais

Huyu bwana ana dalili zilizo dhahiri za ugonjwa wa akili wa narcissistic personality disorder, serial killers wengi wana dalili hizohizo...kesho akianza kucharanga watu mapanga sote tutaacha kumcheka.
 
Huwezi ata kujiongoza mwenye.....Hujui hata kama wewe ni Mgonjwa...sasa utamuongoza nan? au ni nan ataangaika na wewe?
 
Kichwa chake huyo jamaa
 
Hii jamaa unasumbuliwa na ule ugonjwa unaofahamika kama tzmadaracacasccmmabya
 
kisandu siku moja atakuwa rais wa nchi(this is my prophecy),mkuu deo usinisahau kwenye ufalme wako,there is something great about kisandu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…