Mzee wa Wima
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 537
- 296
Dah Pole sana Mkuu..nadhani ile Malaria ya kichwani haijaisha jitahidi umalize Dozi mkuu..TUTAKOMOANA AISEE.
Nimeambiwa nitafungiwa kufanya kazi za kisiasa kwa miaka 6, lengo nisigombee Urais 2020, nawasubiri mjaribu ujinga wenu.
Kama sitatembea Uchi mpaka Ikulu, basi nitaitisha maandamano ambayo hayajawahi kutokea Duniani na yasiyo zuilika.
Mmeniadhirisha halafu mnifungie kisa WIVU wa kijinga.
Deogratius Kisandu
Tanzania, East Africa.