Wewe ndio unatakiwa ufikirie kwa kuwa na mtazamo mgando, Tatizo lako unachotaka ni kuona jina la branch liwe sawa na lile la chuo mama moja kwa moja, maana hata hizo university college kama MUCE na DUCE zina nembo ya UDSM fatilia hilo, hata cheti kinaandikwa UDSM.labda kwa kukusaidia zaidi angalia hata hii web site yao pia ingia ndani usome maelezo, jitahidi kuishi kwa kufuatilia mambo ila sio kwa kukariri tu, http://muce.udsm.ac.tz/sasa hizo muce na duce ni nini?ni branch campus au university college......fikiria kwanza kabla hujakoment
we ni mgumu kuelewa swala sio kukariri bali ni principle za umuundo wa vyuo,kwa mujibu wa maelezo yako inaonekana university college ikiwa mbali na main campus inakua branch....Wewe ndio unatakiwa ufikirie kwa kuwa na mtazamo mgando, Tatizo lako unachotaka ni kuona jina la branch liwe sawa na lile la chuo mama moja kwa moja, maana hata hizo university college kama MUCE na DUCE zina nembo ya UDSM fatilia hilo, hata cheti kinaandikwa UDSM.labda kwa kukusaidia zaidi angalia hata hii web site yao pia ingia ndani usome maelezo, jitahidi kuishi kwa kufuatilia mambo ila sio kwa kukariri tu, http://muce.udsm.ac.tz/
nashindwa kuelewa ni kwa nini maprof na viongozi wa udsm wanashindwa kufungua matawi ya chuo hicho na ndio chuo kikuu cha kwanza hapa tz,pia wanashindwa hata kufungua mikoani achilia mbali nchi za nje.wanazidiwa hata na cbe...nielewesheni labda kuna sababu ambayo mimi siifahamu
Labda ujaribu kumuelimisha wewe mie nimejitahidi naona hataki kuelewaNahisi hata unachouliza umekremisha tu
nashindwa kuelewa ni kwa nini maprof na viongozi wa udsm wanashindwa kufungua matawi ya chuo hicho na ndio chuo kikuu cha kwanza hapa tz,pia wanashindwa hata kufungua mikoani achilia mbali nchi za nje.wanazidiwa hata na cbe...nielewesheni labda kuna sababu ambayo mimi siifahamu
wewe ndo umekata mzizi wa fitina..kwa sasa nimeelewa zaidi sio duncan amekariri tuHIvi nnyi kwanini msitembelee wavuti ya chuo kulikoni kubishana pasina data? udsm kuna vingi mfano: cumpus colleges,Constituent Colleges,Schools, insitutes, centers,Bureaus etc. mfano
Campus Colleges
- College of Engineering and Technology(CoET)
- College of Informatics and Communication Technologies (CoICT)
Constituent Colleges
Schools
Institutes
Centres
- Institute of Development Studies (IDS)
- Institute of Kiswahili Studies (IKS)
- Institute of Marine Science (IMS) located in Zanzibar
- Institute of Resource Assessment (IRA)
- Centre for Entreprenuership Development(CED)
- Centre for the Study of Forced Migration (CSFM)
- Centre for Virtual Learning (CVL)
- University Computing Centre Ltd (UCC)
- Technology Development and Transfer Centre (TDTC)
Bureaus
- Quality Assurance Bureau (QAB)
- Bureau of Industrial Cooperation (BICO)
- Bureau of Educational Research and Evaluation(BERE)
- University Student Accomodation Bureau(USAB)
- Economic Research Bureau(ERB)
Other
- Constructed Wetlands Research Project
- Research and Education for Democracy in Tanzania (REDET)
- University Library
- Dean of Students Office (DOSO)
- Dar es salaam University Student Organisation (DARUSO)
Directorates
- Human Resource Management(DHRM)
- Research
- Public Services(DPS)
Duh nashukuru kama umeelewa japo imetumika nguvu kubwa sana kukuelewesha.[/QUOTE
Nashukuru kwa kuliona hilo mkuu, huyo jamaa anataka kufanyiwa kila kitu mpaka ameletewa link ndio angalau kaamini kuwa udsm inamatawi mengi sana ila hayatumii jina mama kwa asilimia kubwa