kw nini udsm hwafungui branches mikoani au nje ya tz

sasa hizo muce na duce ni nini?ni branch campus au university college......fikiria kwanza kabla hujakoment
Wewe ndio unatakiwa ufikirie kwa kuwa na mtazamo mgando, Tatizo lako unachotaka ni kuona jina la branch liwe sawa na lile la chuo mama moja kwa moja, maana hata hizo university college kama MUCE na DUCE zina nembo ya UDSM fatilia hilo, hata cheti kinaandikwa UDSM.labda kwa kukusaidia zaidi angalia hata hii web site yao pia ingia ndani usome maelezo, jitahidi kuishi kwa kufuatilia mambo ila sio kwa kukariri tu, http://muce.udsm.ac.tz/
 
we ni mgumu kuelewa swala sio kukariri bali ni principle za umuundo wa vyuo,kwa mujibu wa maelezo yako inaonekana university college ikiwa mbali na main campus inakua branch....
 
what do you know about MUCE?

 

HIvi nnyi kwanini msitembelee wavuti ya chuo kulikoni kubishana pasina data? udsm kuna vingi mfano: cumpus colleges,Constituent Colleges,Schools, insitutes, centers,Bureaus etc. mfano
Campus Colleges




Constituent Colleges



Schools





Institutes

Centres


Bureaus



Other


Directorates


 
wewe ndo umekata mzizi wa fitina..kwa sasa nimeelewa zaidi sio duncan amekariri tu
 
Duh nashukuru kama umeelewa japo imetumika nguvu kubwa sana kukuelewesha.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…