Kwa 1st August Simba anapigwa nje ndani

Nawashauri Simba ule uchawi wenu wa kuwasha moto uwanjani na mkapata mnacho stahili kule CAF msije mkaujaribu kule Angola. Hawata wavumilia,Wachezaji wenu watachezea virungu vya kufa mtu. Nendeni mkacheze soka, Yale madawa yenu ya kupulizia vyumbani wasubirieni wakija Bongo. Niko pale, mtanishukuru[emoji28][emoji28]
 
Sasa hivi wanatumia ndumba la kizigua -handeni- alilokuja nalo Guardiola Mnene badala ya lile la Kigoma kuexpire
 
Sasa hivi wanatumia ndumba la kizigua -handeni- alilokuja nalo Guardiola Mnene badala ya lile la Kigoma kuexpire
Na ikitokea purukushani hawata amini jinsi kocha Juma alivyo na mbio kuliko wachezaji wake[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sundown wenyewe kwa 1 August walikaa itakua makolo? Huu mwaka miti yote itateleza: Afsc na nbc uto wanabeba tena.
Bora Mo aanzishe timu ya mpira wa pete
wale walocheza na sundowns ni petroles atletico si de agosto kweli wewe ni utopolo
 
Enyi Makolo, nataka niwaambie mapema kabisaa kwamba kwa hawa wababe wa Angola, 1 August mnaenda kuchezea kichapo cha mbwa mwizi cha 6:0 na mkirudi kwa Mkapa ni 0:4!

Nafikiri nimeeleweka.
Tumekusikia
 
Enyi Makolo, nataka niwaambie mapema kabisaa kwamba kwa hawa wababe wa Angola, 1 August mnaenda kuchezea kichapo cha mbwa mwizi cha 6:0 na mkirudi kwa Mkapa ni 0:4!

Nafikiri nimeeleweka.
Badala ya kubishana na watu mtandaoni, kama unaamini matokeo yatakuwa hivyo, basi afadhali uweke tu mzigo, kampuni nzuri za kubet ni M-bet, Betpawa, Bikosports na hata Betika. Weka kilo tatu yako upate zaidi ya 1M kuliko kubishana na mitandao bure bila malipo
 
Sundown wenyewe kwa 1 August walikaa itakua makolo? Huu mwaka miti yote itateleza: Afsc na nbc uto wanabeba tena.
Bora Mo aanzishe timu ya mpira wa pete
Halafu uto wakafika hatua gani? 😁😁 😁
 
Agosto walikimbizwa sana na Red Arrow ya Zambia mechi ya pili refa alikataa goli la pili bila sababu lilikua shut la nje ya 18 nadhani nao wana figisu kwa marefa ngoja tuone ila hawana Timu ya kushinda mechi mbili kwa Simba mimi nawatakia kheli watani zangu maana Timu nyingi zinapopita kiwango cha mpira Tanzania tunapanda na pia soko la vijana kuuzwa nje linakua juu pia wachezaji bora kutoka nje watacheza Timu zetu zile mambo za kuomba wapinzani wafanye vibaya sio Uzalendo...
 
Enyi Makolo, nataka niwaambie mapema kabisaa kwamba kwa hawa wababe wa Angola, 1 August mnaenda kuchezea kichapo cha mbwa mwizi cha 6:0 na mkirudi kwa Mkapa ni 0:4!

Nafikiri nimeeleweka.
Sawa mama mchungaji tunashukuru kwa maono yako.
 
Enyi Makolo, nataka niwaambie mapema kabisaa kwamba kwa hawa wababe wa Angola, 1 August mnaenda kuchezea kichapo cha mbwa mwizi cha 6:0 na mkirudi kwa Mkapa ni 0:4!

Nafikiri nimeeleweka.
Vp mkuu shemela kanuna na kukufungia mapaja umeamua kumalizia hasira kwa Simba. Saa 8 dakika 21 ,a usiku unaanzisha uzi wa kipumbavi namna hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…