Kwa 1st August Simba anapigwa nje ndani

Kwa 1st August Simba anapigwa nje ndani

Kwahiyo kwa vile uto waligongwa nje ndani na Rivers msimu uliopita, na msimu huu wakiktana tena watagongwa tena nje ndani?! Ushavimbiwa chakula cha bure kutoka kwa shemeji yako, unaamua kuropoka tu!
 
Enyi Makolo, nataka niwaambie mapema kabisaa kwamba kwa hawa wababe wa Angola, 1 August mnaenda kuchezea kichapo cha mbwa mwizi cha 6:0 na mkirudi kwa Mkapa ni 0:4!

Nafikiri nimeeleweka.
We Masanja Mkandamizaji, ungemaliza kwanza haya maswahibu yaliyokupata!
 
Sundown wenyewe kwa 1 August walikaa itakua makolo? Huu mwaka miti yote itateleza: Afsc na nbc uto wanabeba tena.
Bora Mo aanzishe timu ya mpira wa pete
Yaan nyie utopolo hata hamjui ni team gan iliyowafunga sundown?yafaa nini sasa kama hata team hamzijui na mnajiita mashabik wa mpira?
 
Tayarisheni kabisa barua ya kumfuta kazi huyo Guardioa feki wenu
Screenshot_20221006-151010.png
 
Sundown wenyewe kwa 1 August walikaa itakua makolo? Huu mwaka miti yote itateleza: Afsc na nbc uto wanabeba tena.
Bora Mo aanzishe timu ya mpira wa pete
Sundowns walitolewa na wababe wa angola wanaitwa petrol atletico de luanda sio hawa agosto waliotolewa na namungo
 
Back
Top Bottom