Kwa Afrika ukiona Chama au Kiongozi amedumu madarakani ni kwa sababu anauza maliasili za nchi kwa mabeberu

Kwa Afrika ukiona Chama au Kiongozi amedumu madarakani ni kwa sababu anauza maliasili za nchi kwa mabeberu

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Nihakikishie ulinzi na kupita kwenye uchaguzi tutayajenga.

Ndio sababu hata watawale miaka 1000 faida zitokanazo na Rasilimali za Nchi hamtaziona kamwe.

Mikataba ya Siri, vikao vya siri, chaguzi haramu, mikopo ya kumwaga.

Ili kuepuka mtego huo Kiongozi au Chama chake ni lazima kichague njia moja wapo kati ya hizi.

Kuweka mazingira ya kidemokrasia ukubali kushindwa au kushinda kwa halali au ufanye kama tulivyoona hapo juu.

Nawatakia usiku mwema.
 
Hata hivyo naunga mkono kwa asilimia 100 kuwekeza Bandari ya Dar mikononi mwa Dubai.

Hawa ni watu makini na Rais Samia ameamua kuweka mambo wazi. Tusuke au tunyoe.
 
Hat hivyo naunga mkono kwa asilimia 100 kuwekeza Bandari ya Dar mikononi mwa Dubai.

Hawa ni watu makini na Rais Samia ameamua kuweka mambo wazi. Tusuke au tunyoe.
Miaka 100? Yaani hata baada ya miaka 100 Watanzania watakuwa na akili hizi hizi!
 
Miaka 100? Yaani hata baada ya miaka 100 Watanzania watakuwa na akili hizi hizi!
Bandari ya Dar mapato yalikuwa yanaishia mikononi mwa watu wazito tu.

Sasa wazee wa Kazi Dubai acha waingie kazini.

Mnaolalamika ni mafisadi
 
Hat hivyo naunga mkono kwa asilimia 100 kuwekeza Bandari ya Dar mikononi mwa Dubai.

Hawa ni watu makini na Rais Samia ameamua kuweka mambo wazi. Tusuke au tunyoe.
Watu makini wapi ,bongo utopolo umesheheni .
Yaani mwarabu aje kukuletea ww mbongo faida ,private businesses are run for profit .Wakipata hasara ni serikali ndio itafoot bill .
Kama Kuna wezi wawafunge ,sio kupeana critical infrastructure Kama bandari kwa mwarabu
 
Watu makini wapi ,bongo utopolo umesheheni .
Yaani mwarabu aje kukuletea ww mbongo faida ,private businesses are run for profit .Wakipata hasara ni serikali ndio itafoot bill .
Kama Kuna wezi wawafunge ,sio kupeana critical infrastructure Kama bandari kwa mwarabu
Kuna mtu alisema Bandari ni muhimu sana kwa Usalama wa Taifa kwani ni Lango la kuingilia mambo mengi.

Ngoja tuone.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ujinga wa watawaliwa pia ni sababu nyingine kubwa zaidi, hasa kama wanajua maliasili zao zinauzwa lakini hawafanyi chochote kuzuia hilo.
Unadhani watafanya nini mbele ya Bunduki?

Zile sheria zinazopitishwa kwa hati ya darurat huwa unadhani ni kwa sababu ya darurat??😅😅
 
 
Wasipouza Pesa za uchaguzi na instruments za uchaguzi watazilipa nini?
 
Back
Top Bottom