Kwa Afrika ukiona Chama au Kiongozi amedumu madarakani ni kwa sababu anauza maliasili za nchi kwa mabeberu

Kuendelea Kwa CCM madarakani kutaleta hasara kubwa ikiwa ni pamoja na kuuza rasilimali na maeneo mhimu ya nchi mfano Bandari na Ardhi. Tumekwisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…