Pre GE2025 Kwa agenda za kujidhoofisha yenyewe, CHADEMA inaweza kuwa nafasi ya 6 au ya 9 uchaguzi mkuu wa 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Akili yako wewe labda inalingana na Mbowe,lakini wenye akili wote wanamkubali Tundu lissu
 
Akili yako wewe labda inalingana na Mbowe,lakini wenye akili wote wanamkubali Tundu lissu
kutapeliwa na kibaka wa siasa kirahisi hivyo, nalo ni janga la Taifa kwa sasa. Pole gentleman πŸ’
 
kutapeliwa na kibaka wa siasa kirahisi hivyo, nalo ni janga la Taifa kwa sasa. Pole gentleman πŸ’
Cha kufurahisha wanachama wa Chadema wanajitambua kuliko CCM hata kama huwa wanaibiwa kura
 
Cha kufurahisha wanachama wa Chadema wanajitambua kuliko CCM hata kama huwa wanaibiwa kura
kumbe wanatambua kabisa kua wanaongozwa na kutapeliwa na kibaka wa kisiasa nchini, dah!πŸ’
 
Hata kama CCM wanatuibia kura lakini tumekata kubuluzwa na Sultani Mbowe
Gentleman,
relax, na ufikirie, chadema inaweza kushika nafasi ya ngapi kati ya 6 na 9 baada ya matokeo yote kutoka?πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…