Si tanzania hii mkuu. Tanzania unakuta bar iko katika ya tope meza chafu na watu wamejaa. Unakuta mgahawa umejaa nzi na watu wamejaa.Hilo hapo chini ni tangazo katika moja ya migahawa hapa mjini DSM,
Ameanza kwa mtiririko huu
∙ Supu ya Samaki
∙Choo cha kulipia
∙Chapati
∙maandazi
∙Wali + Pilau
∙Chips
Karibuni sana,
Katika hili tangazo lake kosa kubwa alilolifanya ni kuandika Choo cha kulipia katikati ya tangazo la chakula, Mteja akishasoma hivyo tayari ile hamu ya kuendelea kuwa hapo inaondoka, Tujifunze kuandaa matangazo yanayoendana na biashara husika pasipo kuchanganya vitu vya tofauti vinavyoweza kukupunguzia wateja
Fact mkuuHilo hapo chini ni tangazo katika moja ya migahawa hapa mjini DSM,
Ameanza kwa mtiririko huu
∙ Supu ya Samaki
∙Choo cha kulipia
∙Chapati
∙maandazi
∙Wali + Pilau
∙Chips
Karibuni sana,
Katika hili tangazo lake kosa kubwa alilolifanya ni kuandika Choo cha kulipia katikati ya tangazo la chakula, Mteja akishasoma hivyo tayari ile hamu ya kuendelea kuwa hapo inaondoka, Tujifunze kuandaa matangazo yanayoendana na biashara husika pasipo kuchanganya vitu vya tofauti vinavyoweza kukupunguzia wateja
Mm sikijui mkuu ni nnHiyo ni code ya aina ya chakula, hukijui choo cha kulipia wewe?
Ndo raha ynyw hy kula huku unakimbizana na nzi, mm nlkuwa kule humanities/bondeni naacha cafeteria pale nashuka ujasi kula na juisi juuSi tanzania hii mkuu. Tanzania unakuta bar iko katika ya tope meza chafu na watu wamejaa. Unakuta mgahawa umejaa nzi na watu wamejaa.
Nakumbuka wakati ansoma UDOM tunaacha cafteria safi za Shabiby tunazama chaka huko kwa wajasi kuna nzi kuchafu eti tunasema msosi wao ndo mtamu mpaka shabiby anamwaga chakula.
Nikikumbuka mpaka leo sielewi tulikuwa tunafuata nini.