Pre GE2025 Kwa aina ya Siasa anazofanya Tundu Lissu, hata akigombea Ubunge hapati

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hapo kuwiwa ndio mbavu zinaponiuma mie 🀣🀣🀣
Tatizo anaandika magazeti mpk macho yanauma.!
ikiwa kwenye ni kwenye mimbari ya kuhubiria madhabahuni kanisani au kwenye jukwaa la kisiasa live sijui itakuaje kwakweli,

hayo macho lazima yapone kukuuma
 
ikiwa kwenye ni kwenye mimbari ya kuhubiria madhabahuni kanisani au kwenye jukwaa la kisiasa live sijui itakuaje kwakweli,

hayo macho lazima yapone kukuuma
Hiyo misamihati yako hapana kwakweli β€œmimbari” ndio nini tena? πŸ˜‚
 
Endelea na upunguani wako Lisu anashinda mapema uraisi 2025 hatakama polccm wakimbie na masanduku ya kura
 
Utumbo mtupu.eti.imotional stori!!ndio nini sasa.
 
Unaendeleaje Masta Talaatlaahtata
 
Wewe utakuwa humuelewagi tu
 
Masta go to reality Masta... jamaa tayari ni Chairman, picha inaanzia hapo
what's chairmanship in Tz gentleman?

mbona Hashim Rungwe mzee wa ubwabwa na hata Lipumba ni macharman pia πŸ’
 
Ulisema hawezi kumshinda mbowe, sasa umehamisha goli tena.
Ukishakuwa chawa kazi yako inakuwa ni kuandika upumbavu tu
 
Ulisema hawezi kumshinda mbowe, sasa umehamisha goli tena.
Ukishakuwa chawa kazi yako inakuwa ni kuandika upumbavu tu
Ati ni mtafiti wa Lumumba. Uchawi tu alionao.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…