Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingawa ni umri umeenda, lakini huyu pekee ndiye anaweza kunifanya nitoe kura yangu kwa chadema.Mwenyekiti wake anampendelea zaidi Dr.Slaa kua mgombea Urasi wa CHADEMA zaidi ya mtu mwingine yeyote
kusema ukweli hapahitaji malipo gentlemanIli iweje. Mkapange mikakati ya utekaji mwingine?
Hata hivyo 'Chura Kiziwi' kisha waonya. Hataki kuwa Magufuli wa kike.
Mnajipendekeza kwake ili muendelee kunufaika, kumbe mnamharibia sifa yake!

Mwanangu Tlaatlaah naona kacharuka na 2025,hadi tumbo la uzazi liinanicheza ninawiwa kuhamia huko CCM nimsaidie campaignSijambo baba mtumishi, mama yako yupo Joannah unaitwa na baba mtumishi.!!
Hamna lolote zipigwe kura za uwazi muone km mtatoboa.!! Nyie bila poli CCM na walimu kuwasaidia kwenye ballot box hamtoboi
I miss you very much Mom,Mwanangu Tlaatlaah naona kacharuka na 2025,hadi tumbo la uzazi liinanicheza ninawiwa kuhamia huko CCM nimsaidie campaign
Wewe huna ukweli wowote, umejaa takataka tupu.kusema ukweli hapahitaji malipo gentleman![]()
Hii CCM ulianza kuijua alipo ingia Samia, su siyo? Na karibuni atakapo ondoka, CCM hiyo hiyo unaisahau!don't forget to comfort me with prayers as you always do, and plz join me in the spirit of transforming the country into prosperous, through Chama Cha Mapinduzi CCM, under our very capable leader comrade Dr Samia Suluhu Hassan
Ukiendelea hivi hivi, sitakuwa na sababu ya kuhangaika na wewe. Ngoja nikuache nione kama mabadiliko haya ni ya kweli.ni ukweli tu kwendra mbele mpaka maji uyaite mma 🤣
Am doing just fine my dearest son,I missed u dearly too.I miss you very much Mom,
its my hope you are doing well Mom, right?
don't forget to comfort me with prayers as you always do, and plz join me in the spirit of transforming the country into prosperous, through Chama Cha Mapinduzi CCM, under our very capable leader comrade Dr Samia Suluhu Hassan 🙏
Acha uchawiIkitokea akakubali ushauri wa wazee wa Singida eti agombee Ubunge kwenye miongoni mwa majimbo yaliyomo mkoani Singida, Tundu Lisu atashidwa vibaya mno ikiwa atagombea Urais wa Tanzania, huku uwezekano wa kupewa nafasi hiyo ndani ya chama chake CHADEMA ukiwa finyu na mdogo sana.
Siasa zake za kulalamika, kuomba omba kuchangiwa, kuonewa huruma, imotional stori telling with hopeless and empty promises zimewafanya wanachama wa chama chake wengi kubadilisha uelekeo na uamuzi na kuamua kumuunga mkono kiongozi na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Aina hiyo ya siasa yamewafedhehesha na kuwavunja moyo sana watu wachapakazi wa Singida kwa sababu wao hawana tabia ya kuomba omba, na kwahivyo hawamuamini na wala hawataki kubeba aibu zaidi hiyo aliyowapa inatosha.
Soma Pia:
Hata hiyo,
- Barua ya wazi kwa ndugu Tundu Antipas Lissu! Kumsihi aachane na nia yake ya kugombea urais 2025-2030
- Kuelekea 2025 - Lissu athibitisha kuandika barua ya kugombea Urais, asema CCM wameweka fedha katika Akaunti yake, tatizo liko wapi?
Tundu Lisu hana sera mahususi tena, hana uelekeo kabisa, kapoteza credibility completely kwa Umma nadhani hata yeye amegundua hilo ndio maana sasa anajarbu tu kupambana kudhibiti kila hoja anayoibua Mwenyekiti wake ili yeye ndio awe relevant zaidi mitandoni.
Kwakweli anaelekea kukata tamaa kabisaa.
Actually,
Mwenyekiti wake anampendelea zaidi Dr.Slaa kua mgombea Urasi wa CHADEMA zaidi ya mtu mwingine yeyote 🐒
🤣🤣🤣🔥🔥🤝🤝👊👊💪💪❤️🌹Am doing just fine my dearest son,I missed u dearly too.
I will pray for you hadly,as long as ur my lovely son comforting u is my duty,and surely I'll pay my dues to make sure our comrade mama, her excellency,honorable Dr Samia Suluhu Hassan get historical victory!worry out mitano tena
Nakushauri urudie kusoma ulichoandika na kujitafakari. Bora hizi mambo ukaandike Facebook huko lakini siyo hapa, ni ushauri tu na wala siyo sheriaactually,
kama huna hoja, mawazo mapya au fikra mbadala ni busara kukaa kimya tu dhidi ya ukweli huo,
vita ya nini sasa kwenye mijadala muhimu na wa kiungwana kama huu? mie nadhani ni vizuri mkaendelea na vita zenu za propaganda na kuamini ushirikina huko Facebook...
lakini wengine kazi yetu ni kusema ukweli na kuamini Mungu 🐒
Uzuri unachoandika sio unachokiaminisha...hakuna mbambamba, huruma, kulialia, kulalamika, kususa, kugoma au kuzira kwenye hilo![]()

Mie nimeipenda ramli yako kuhusu..Tundu Lissu 🙂 🙂 🙂mtafurahi mbona ndugu mpiga ramli 🐒
Bure kabisa wewnadhani anae hangaika na kubabaika ni wewe ambae hujazingatia vyema maelezo kwenye hoja ya msingi jukwaani...
ikiwa umeelewa vyema usingethubutu kumbwelambwela kama ambyavyo umefanya,
ungekuja na mbadala wa maelezo muhimu na ya maana sana dhidi ya hoja hiyo na bilashaka walau ungemake sense 🐒
upinzani ni dhaifu na kibogoyo Tanzania, wamebaki kumbwela mbwela tu kutafuta huruma kwa uzushi na visingizio ambavyo haziwasaidii chochote 🐒Bure kabisa wew
Mbona huja hoji rushhwa anayotoa Abdul kwa wanasiasa wa upinzani
Una akili za kitumwa fogo