kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
unaandika ki shabiki sana, unaanza na utabiri kuhusu hizo game 2,Yani hueleweki,unabwata hapa lakini wakina kapombe ndio wanao wajua yanga pale kwenye pitch.wewe kata mauno hapa jfNaanza kwa Kusema 'BIG UP' Kwa Manara.Kwa Kueleza Waziwazi bila Woga Kitendo kibaya Mno Kilichofanywa na Yanga,Kukimbia Mechi Ya Darby bila kujali Umati Ule uliojazana Pale Kwa Kivuli cha Kanuni...
Huyu aliyesema hivi ni Waziri? ... Hapa kuna shida. TFF ni mlezi Wa Vilabu Vyote! Ni baba wa Wote...Leo Unamchukua Mtoto mmoja tena Toto lenyewe ni toto Tundu eti unamweka Kikao na Baba ambaye ni Mlezi Wa Wote..Sasa hivi wanazua eti ni kwa vile yanga wana jakamoyo ns TFF! Hivi hawa yanga ni x wa TFF?Mbona visirani si visirani kila siku kama vya uke wenza
Elimu za hao unaowaita waandishi na WACHAMBUZI ni zero kbsa. Hawajielewi hao. Ukiwafuata wenye akili tutahoji akili zakoKama akina edo takataka hivi vile alivyo Manara yeye si mimavi kabisa
Wewe sio tu kichwa kichafu. Ni akili chafu. Hakika ulipata div 4 au zero O-level na A-levelTatizo Manara Kawashika Akili Wamatopeni Mmekuwa Kama Misukule Aisee!
Kichwa Kichafu ni Lazima Kitoe Mawazo yasiyo saidia....Hivyo tuliza boli tushughulike na Wachambuzi fake...Sio wote Fake..Wapo tunaowaheshimu...na hao tunawatia Moyo Waendeleee kuchambuaTatizo Manara Kawashika Akili Wamatopeni Mmekuwa Kama Misukule Aisee!
Huyo Haji mnayemuabudu ana elimu gani? Ile barua aliyoandika hata mtoto wa chekechea asingeandika vile! Mbona mikia wamepaniki sana?Elimu za hao unaowaita waandishi na WACHAMBUZI ni zero kbsa. Hawajielewi hao. Ukiwafuata wenye akili tutahoji akili zako
Naunga mkono hoja ya Haji. Huwezi kuacha kucheza mpira baada ya game kusogezwa mbele kwa masaaManara Kajenga Hoja Yenye mashiko Mechi kusogezwa mbele masaa mawili haimaanishi mchezo umehairishwa...Sasa Wachambuzi wanaacha hoja Wanasifia Ushujaa Wa Yanga 'kutimua mbio' .
All in all Ipo haja na Wao kujitathmini wasitumie vyombo vyao Vibsya.
Mkuu acha ushabiki wa hivyo.Tatizo Manara Kawashika Akili Wamatopeni Mmekuwa Kama Misukule Aisee!
Wewe ni kinyeo.Wewe ni mavi.
Acha ushabiki mkuuNaanza kwa Kusema 'BIG UP' Kwa Manara.Kwa Kueleza Waziwazi bila Woga Kitendo kibaya Mno Kilichofanywa na Yanga,Kukimbia Mechi Ya Darby bila kujali Umati Ule uliojazana Pale Kwa Kivuli cha Kanuni.La Pili ambalo nalo linastahili pongezi ni kuonyesha Uzandiki kwa Wanaojiita wachambuzi...kwa kutetea na kuubeba Utopolo Uliofanywa na Utopolo Yenyewe 'eti wamefanya Kitendo Cha kishujaa.Hawa Utopolo hawana pa Kuchoropoka mwaka huu, Naziona game mbili clear zinakuja, ya FA na Hii ya VPL ambayo itapangiwa tarehe nyingine .Lazima Vyura wapigwe...!
Wachambuzi Uchwara wamekuwa wengi mno....! Tatizo la ajira linakuja na matokea anuai, wengine Wanavamia fani...!