3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
Hiyo saa 11 refa ungekuwa wewe..?Acha ushabiki mkuu
kwann simba hamjaja kweny mechi saa kumi na moja kma mnajali mashabiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo saa 11 refa ungekuwa wewe..?Acha ushabiki mkuu
kwann simba hamjaja kweny mechi saa kumi na moja kma mnajali mashabiki
Upumbafu haujaisha tuNaanza kwa Kusema 'BIG UP' Kwa Manara.Kwa Kueleza Waziwazi bila Woga Kitendo kibaya Mno Kilichofanywa na Yanga,Kukimbia Mechi Ya Darby bila kujali Umati Ule uliojazana Pale Kwa Kivuli cha Kanuni.La Pili ambalo nalo linastahili pongezi ni kuonyesha Uzandiki kwa Wanaojiita wachambuzi...kwa kutetea na kuubeba Utopolo Uliofanywa na Utopolo Yenyewe 'eti wamefanya Kitendo Cha kishujaa.Hawa Utopolo hawana pa Kuchoropoka mwaka huu, Naziona game mbili clear zinakuja, ya FA na Hii ya VPL ambayo itapangiwa tarehe nyingine .Lazima Vyura wapigwe...!
Wachambuzi Uchwara wamekuwa wengi mno....! Tatizo la ajira linakuja na matokea anuai, wengine Wanavamia fani...!
Na saa 1 mngeleta team yenu B mcheze nayoHiyo saa 11 refa ungekuwa wewe..?
[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14] eti Kuch Kuch uozo tuWewe sio tu kichwa kichafu. Ni akili chafu. Hakika ulipata div 4 au zero O-level na A-level
Jiandaeni kukimbia tenaNa saa 1 mngeleta team yenu B mcheze nayo
Wapumbafu mpo wengiNaunga mkono hoja ya Haji. Huwezi kuacha kucheza mpira baada ya game kusogezwa mbele kwa masaa
Huu si uungwana hata kidogo ambao wametendewa mashabiki na wadau wa soka kwa vile kuna games nyuma zimefanywa hivyo, kanuni ilikuwa wapi? Au kanuni kwa Simba na Yanga tu..!
Na wewe ni chooo hahahaWewe ni mavi.
Tff walipaswa kuambatanisha na barua ya wizara ya kupeleka mbele mchezoKwenye matamko ya serikali hayaanzii kwenye kwanini waliahirisha bali way forward kwenye swala la mechi itachezwa lini. Ndio utajua TFF walipewa maagizo.
Yanga wanaivimbia serikali wakihisi wanaivimbia TFF.
Kanun zikivunjwa tena hatucheziJiandaeni kukimbia tena
Mtu akikuambia korona imeibeba Simba mwambie mbona NAMUNGO haikumbeba?Nikimsikia mchambuzi mmoja anaitwa dada ni taka taka kabisa.
Anasema Simba imenufaika na corona ndiyo maana imefika hapo ilipo!Ni ajabu sana kwani Simba siyo mara ya kwanza kifika hapo.
Lakini pia wamewahi kufika fainali za CAF.
Kusema wamefaidika na corona ni dharau za wazi kwa uwekezaji uliofanyika,kwa wachezaji wa Simba,na kwamba anawaona si lolote isipokuwa ni corona imewabeba.
Kibaya sana ni pale hajui hata kuwa ligi ya Misri haikusimama na bado tumewafunga Al ahly.
Simba imeshinda mechi za ugenini na si nyumbani tu.
Wanatia kinyaa kwa uchambuzi wao usio fair ila unajali matumbo yao tu,hasa kwa vile wanaambiwa wafikiri nini na anayewalipa
Round hii hamna pakutokea.. Mnataka ubingwa wa madeko.Kanun zikivunjwa tena hatuchezi
Lazma kanuni zizingatiwe sio ndani tu ya uwanja mpk nje pia
Ndio lakni sheria lazima zifatwe [emoji41][emoji41][emoji41]Round hii hamna pakutokea.. Mnataka ubingwa wa madeko.
TFF, BODI NA WIZARA WOTE HovyoTff walipaswa kuambatanisha na barua ya wizara ya kupeleka mbele mchezo
Yanga wako sahihi mara [emoji817]
Hapo umenenaTFF, BODI NA WIZARA WOTE Hovyo
Sheria ndio msingi.. haya mengine ni matani tu mkuu.Ndio lakni sheria lazima zifatwe [emoji41][emoji41][emoji41]
Mabadiliko hayo ni kinyume cha kanuni ya 15(10) za Ligi KuuManara Kajenga Hoja Yenye mashiko Mechi kusogezwa mbele masaa mawili haimaanishi mchezo umehairishwa...Sasa Wachambuzi wanaacha hoja Wanasifia Ushujaa Wa Yanga 'kutimua mbio' .
All in all Ipo haja na Wao kujitathmini wasitumie vyombo vyao Vibsya.
Mm naona TFF tunawalaumu tu lakini wizara ndo umetuzinguaSheria ndio msingi.. haya mengine ni matani tu mkuu.
Wale TFF wakuda wanaleta mazoea na busara kwenye kanuni.
We ndo number one..!Wapumbafu mpo wengi