Kwa aina ya Wachambuzi tulionao tunawahitaji kina Haji Manara wengi

Upumbafu haujaisha tu
 
Wapumbafu mpo wengi
 
Kwenye matamko ya serikali hayaanzii kwenye kwanini waliahirisha bali way forward kwenye swala la mechi itachezwa lini. Ndio utajua TFF walipewa maagizo.

Yanga wanaivimbia serikali wakihisi wanaivimbia TFF.
Tff walipaswa kuambatanisha na barua ya wizara ya kupeleka mbele mchezo

Yanga wako sahihi mara [emoji817]
 
Mtu akikuambia korona imeibeba Simba mwambie mbona NAMUNGO haikumbeba?

Halafu mwambie ABAKI NA UJINGA WAKE.
 
Ww mwenyew umeandika kwa mihemko kwahy ulitaka wandishi wapindishe ukwel
 
Haji Manara asipewe nafasi ya kuzungumza kwenye mambo wanayo hitaji matumizi ya akili yeye awe mwamasishaji. Kama klabu yake itaendelea kumtumia inatakiwa ijuwe uwezo wake kwenye mambo rahisirahisi, Mambo wanayo hitaji akili atafutwe wa kuzungumza la sivyo kunasiku ataleta tabu kwa klabu yake.
 
Manara Kajenga Hoja Yenye mashiko Mechi kusogezwa mbele masaa mawili haimaanishi mchezo umehairishwa...Sasa Wachambuzi wanaacha hoja Wanasifia Ushujaa Wa Yanga 'kutimua mbio' .
All in all Ipo haja na Wao kujitathmini wasitumie vyombo vyao Vibsya.
Mabadiliko hayo ni kinyume cha kanuni ya 15(10) za Ligi Kuu
inayohusu taratibu za michezo ambayo unasema mabadiliko yoyote ya muda wa kuanza Yatajulishwa ipaaavyo kwa pande zote mbili husika za mchezo angalau masaa 24 kabla ya muda wa awali.


Hiyo kanuni inaongelea kuahirisha au mabadiliko?!

Nikimtag Aden Rage nitakuwa nakosea?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…