Kwa akina dada: Hivi mwanaume wa kingoni ana nini?

Kwa akina dada: Hivi mwanaume wa kingoni ana nini?

Tupatie mrejesho basi, mbona kimya bwana Nyengo…hayo maujanja na sisi yanaweza kutusaidia bana
 
naomba niambieni kuna siri gani ambayo mwanamme wa kingoni anatuzidi sisi. Maana kila kukicha wenzetu wanamwagiwa sifa na ni rahisi sana wao kukubabaliwa na akina dada. Jamani kuna siri gani na sisi tuige?

Mkuu hujajibiwa mpaka leo hiyo siri?? tushirikishe na sisi hayo mau janja tupate huo umaarufu na masifa...
 
naomba niambieni kuna siri gani ambayo mwanamme wa kingoni anatuzidi sisi. Maana kila kukicha wenzetu wanamwagiwa sifa na ni rahisi sana wao kukubabaliwa na akina dada. Jamani kuna siri gani na sisi tuige?

Wako fit
 
Ohhhhhh...... Shark wangu eeee....
Mngoni wangu unayenikosha mpaka namsahau mume wangu,♥♥♥♥♥mingi mingi
 
Last edited by a moderator:
Aisee Leo tumekumbukwa wangoni santeeeee muulizeni Madame B anajua akipatacho
 
Last edited by a moderator:
mamaaa nimekosa mautamu nilikuwa nimesafiri mbali na nchi. Nakahambii kuvala kulonda jamani
 
Inawezekana kuna uhasilia hapa. Kuna wengine wanabishahaijalishi. Cha muhimu kama kuna mmoja amesema angalia tabia ya wangoni ikoje.Kwani yale mambo yanaanzia mbali na wanawake kuna mambo wanayopendelea yakiwemo:Ucheshi, Uchangamfu, kucare, kumfanya mwananmke ajisikie ni yeye tu , kumjali –sasa huenda hivi humaliziwa na matendo, huenda kabila hili wanavyo. Lakini tukumbukepia kuna makabila yalienda jandoni nahisi wangoni pia wamo. Msiniulize evidence jamani. Sasa kuna wakaka/ wadada wanadhani niushamba au uzamani jamani muwaconsult wawaeleze hayo mafundisho nadaniyanasaidia.

Sasa utakuta mtu yukoserious kama yuko na mtuhumiwa jamani hata mudi itakuja? Tuna mengi yakujifunza jamani maana mahusiano ni magumu na hapohapo ni muhimu! Jamani dadaambaye amepata mafunzo haya tujuzane maana karibu nafanya maamuzi magumu yakutangaza NIA sio ile ya kisiasa bali yakijamii!

 
Back
Top Bottom