Kwa Al Ahly hii ule utaratibu wetu wa point 9 kwa Mkapa utawezekana kweli?

Kwa Al Ahly hii ule utaratibu wetu wa point 9 kwa Mkapa utawezekana kweli?

Masterplaner

Senior Member
Joined
Jul 30, 2020
Posts
121
Reaction score
184
Naitazama kwa umakini sana hii mechi ya Al ahly vs Palmeiras ya brazili, ni wazi kuwa Al ahly wameimarika maradufu tangu wakati ule tulipo wafunga pale taifa goli moja naomba ikiwezekana timu Yangu ya Simba ijiwekee utaratibu mwingine kwamba angalau tushinde japo mechi moja ugeninini ili tuweze kusonga mbele, kuifunga hii Timu pale kwa Mkapa uwezekano ni mdogo sana ukiitazama hata ilipo cheza na Bayern Munich
 
Ni kweli al ahly ni timu nzuri maradufu kushinda ya kwetu. Matokeo yanaletwa na sababu nyingi.
Ndio maana unakuta barnsley anamfunga Man City

Yote kwa yoote naona wasudan ni maji yetu kuna point 4-6. Wakongo wana point zetu 3-4. Ila yote hii ni kama tukikaza tukapunguza ule uzembe pale kwenye ulinzi, tutoe ile dhana ya kwamba ugenini ni sehemu ya kuzuia sare tu ama kupoteza.
 
Kama umeangalia game al haily ni timu ya kawaida wale wa Brazil kina Mello na Luiz wanaonekana wengi hawakuwa fit mpira waliocheza ni wa kawaida sana sema wana kipa na beki bora
 
Hapo matokeo kuletwa na sababu nyingi kama nimekupata, inaweza kuwa kupuliza dawa vyumbani, kusingizia wachezaji wa timu pinzani wana corona pamoja na sababu nyingine za namna hiyo.
Hizo zote ni namna za kutafuta matokeo, mourinho aishawahi kuomba pitch imwagiwe maji mengi iwe inateleza kipindi yupo chelsea, game ilikuwa vs barca kama sijakosea.

So kuna mambo mengi mnoo, hasa kwa soka letu la afrika.
 
Hapo matokeo kuletwa na sababu nyingi kama nimekupata, inaweza kuwa kupuliza dawa vyumbani, kusingizia wachezaji wa timu pinzani wana corona pamoja na sababu nyingine za namna hiyo.
Unajitesa bure kwa kushabikia timu bovu utopolo. Utakereka mpaka lini ndugu?
 
Ni kweli al ahly ni timu nzuri maradufu kushinda ya kwetu. Matokeo yanaletwa na sababu nyingi.
Ndio maana unakuta barnsley anamfunga Man City

Yote kwa yoote naona wasudan ni maji yetu kuna point 4-6. Wakongo wana point zetu 3-4. Ila yote hii ni kama tukinikaza tukapu gusa ule uzembe pale kwenye ulinzi, tutoe ile dhana ya kwamba ugenini ni sehemu ya kuzuia sare tu ama kupoteza.
Kama vile Simba ilivyoibugiza Coastal Union goli Saba,na Coastal Union hiyo ikaigonga Azam 2-1, na Azam hiyo ikaidindia Simba 2-2. Mpira una maajabu yake
 
Naitazama kwa umakini sana hii mechi ya Al ahly vs Palmeiras ya brazili, ni wazi kuwa Al ahly wameimarika maradufu tangu wakati ule tulipo wafunga pale taifa goli moja naomba ikiwezekana timu Yangu ya Simba ijiwekee utaratibu mwingine kwamba angalau tushinde japo mechi moja ugeninini ili tuweze kusonga mbele, kuifunga hii Timu pale kwa Mkapa uwezekano ni mdogo sana ukiitazama hata ilipo cheza na Bayern Munich
Kocha Pitso Mosimane ameibadilisha sana kiuchezaji Al Ahal, hata michezo yao ya kujiangusha hataki na hata kujilinda pia hataki. Ndio maana kwenye mechi ya Bayern alivyoona wachezaji wake wamepark bus aliwahimiza watoke nyuma na wacheze mpira. Hapo ndipo Bayern walipofikwa na wakati mgumu. Mechi na Palmeras ndio kabisa waliacha kabisa kupark bus.
 
Ni kweli al ahly ni timu nzuri maradufu kushinda ya kwetu. Matokeo yanaletwa na sababu nyingi.
Ndio maana unakuta barnsley anamfunga Man City

Yote kwa yoote naona wasudan ni maji yetu kuna point 4-6. Wakongo wana point zetu 3-4. Ila yote hii ni kama tukikaza tukapunguza ule uzembe pale kwenye ulinzi, tutoe ile dhana ya kwamba ugenini ni sehemu ya kuzuia sare tu ama kupoteza.
Tegemea uchawi utaaibika ndugu ni suala la muda tu umesahau mwaka jana ulishindwa kuifunga timu iliyokuja kwa Mkapa mkatoa sare na hata juzi juzi ile timu iliyotoka naigeria plateu nayo mkatoa sare siyo kila timu ikija Taifa utaifunga unatakiwa ulijue hilo alafu kumbuka As Vita na Ally Ahly mlikutana nao mwaka juzi wanawajua vizuri ujinga wenu mnaoufanyaga Taifa msitegemee mtawafunga Taifa kwa Ushirikina wenu .Huko Kongo ndiyo uliko mlango wa kwenda kuzimu ukiloga umejiloga
 
Kama vile Simba ilivyoibugiza Coastal Union goli Saba,na Coastal Union hiyo ikaigonga Azam 2-1, na Azam hiyo ikaidindia Simba 2-2. Mpira una maajabu yake
Sawa mkuu subiria miujiza.Muda utasema hatutaki visingizio vyovyote manake Mashabiki wa Simba kwa vidingizio ni Mabingwa sana
 
Hapo matokeo kuletwa na sababu nyingi kama nimekupata, inaweza kuwa kupuliza dawa vyumbani, kusingizia wachezaji wa timu pinzani wana corona pamoja na sababu nyingine za namna hiyo.
AISEEE POLENI SANA HUKU STRESS ZA BEI YA BANDO HUKU STRESS ZA KUSHABIKIA UTOPOLO
 
Tunaweza kuendelea na kauli mbiu yetu ya War in Dar. Huyo Al Ahly awezi chomoka maana tutakuwa vitani.

Mimi kazi yangu itakuwa ni kumulika Tochi machoni mwa kipa wa Al Ahly, huku Nyau wakiendeleza majukumu yao. Points 9 zitapatikana tu.
 
WAJINGA WALISAHAU BINGWA MTETEZI 2003 ZAMALEK ALITOLEWA NA SIMBA 2003..MTAANI KOTE UTOPOLO WANAHANGAIKA KUWATISHA WASHABIKI WA MA CHAMPIONS HADI NAJIULIZA HIVI HAWA WAJINGA WANAHANGAIKA NA UBINGWA WA NINI?WAKIFIKA 16 BORA WANADHANI WATAKUTANA NA IHEFU AU MBEYA CITY?
TUACHENI JAMENI TUMEKUTANA NA HIZI TEAMS TUNAPAMBANA NA ROB`O HADI NUSU FAINALI TUPO MWAKA HUU
 
Naitazama kwa umakini sana hii mechi ya Al ahly vs Palmeiras ya brazili, ni wazi kuwa Al ahly wameimarika maradufu tangu wakati ule tulipo wafunga pale taifa goli moja naomba ikiwezekana timu Yangu ya Simba ijiwekee utaratibu mwingine kwamba angalau tushinde japo mechi moja ugeninini ili tuweze kusonga mbele, kuifunga hii Timu pale kwa Mkapa uwezekano ni mdogo sana ukiitazama hata ilipo cheza na Bayern Munich
Acha Woga wewe
 
Ni kweli al ahly ni timu nzuri maradufu kushinda ya kwetu. Matokeo yanaletwa na sababu nyingi.
Ndio maana unakuta barnsley anamfunga Man City

Yote kwa yoote naona wasudan ni maji yetu kuna point 4-6. Wakongo wana point zetu 3-4. Ila yote hii ni kama tukikaza tukapunguza ule uzembe pale kwenye ulinzi, tutoe ile dhana ya kwamba ugenini ni sehemu ya kuzuia sare tu ama kupoteza.
barnsley alimfunga cty mwaka gani mkuu? Mfano mzuri ni Sheffield kumpiga united
 
Acha Woga wewe
JIBU ZURI SANA JANA NIMEKUTANA NA MAUTOPoLO YANATUTISHA KUHUSU AS VITA NA AL AHLY SASA NIKAWAULIZA NYIE MNATAKA UBINGWA TZ IWEJE? MKIENDA AFRIKA TEAMS NDO HIZI SASA KaMA uNAFIKA 16 BORA KWENDA MBELE,SIMBA KWA SASA WE HAVE THE BEST ATTITUDE..KUANZIA WACHEZAJI HADI FANSA..HATUOGOPIIIIIII YEYOTEEE HATA AKIJA UFARANSA MABINGWA WA DUNIA TUNAPIGA TUUUU
 
Back
Top Bottom