Kwa Al Ahly hii ule utaratibu wetu wa point 9 kwa Mkapa utawezekana kweli?

Kwa Al Ahly hii ule utaratibu wetu wa point 9 kwa Mkapa utawezekana kweli?

JIBU ZURI SANA JANA NIMEKUTANA NA MAUTOPLO YANATUTISHA KUHUSU AS VITA NA AL AHLY SASA NIKAWAULIZA NYIE MNATAKA UBINGWA TZ IWEJE? MKIENDA AFRIKA TEAMS NDO HIZI SASA AKMA NAFIKA 16 BORA KWENDA MBELE,SIMBA KWA SASA WE HAVE THE BEST ATTITUDE..KUANZIA WACHEZAJI HADI FANSA..HATUOGOPIIIIIII YEYOTEEE HATA AKIJA UFARANSA MABINGWA WA DUNIA TUNAPIGA TUUUU
Nguvu Moja
 
Hapo matokeo kuletwa na sababu nyingi kama nimekupata, inaweza kuwa kupuliza dawa vyumbani, kusingizia wachezaji wa timu pinzani wana corona pamoja na sababu nyingine za namna hiyo.
Chifu kwahyo kama mchezaji anakolona acheze tu jamaa Kakwambia ushindi unakuja kwa sababu lukuki japo ubora wa timu huamua matokeo nikweli Al Ahly wamekuwa bora ukilinganisha na mwaka ule ila usisahau nayo simba imeimarika tofauti na simba ile kwahyo kwenye michuano hii chochote kinaweza kutokea na mkabaki midomo wazi
 
Chifu kwahyo kama mchezaji anakolona acheze tu jamaa Kakwambia ushindi unakuja kwa sababu lukuki japo ubora wa timu huamua matokeo nikweli Al Ahly wamekuwa bora ukilinganisha na mwaka ule ila usisahau nayo simba imeimarika tofauti na simba ile kwahyo kwenye michuano hii chochote kinaweza kutokea na mkabaki midomo wazi
Vipimo vilikuwa vya kubumba.
 
JIBU ZURI SANA JANA NIMEKUTANA NA MAUTOPoLO YANATUTISHA KUHUSU AS VITA NA AL AHLY SASA NIKAWAULIZA NYIE MNATAKA UBINGWA TZ IWEJE? MKIENDA AFRIKA TEAMS NDO HIZI SASA KaMA uNAFIKA 16 BORA KWENDA MBELE,SIMBA KWA SASA WE HAVE THE BEST ATTITUDE..KUANZIA WACHEZAJI HADI FANSA..HATUOGOPIIIIIII YEYOTEEE HATA AKIJA UFARANSA MABINGWA WA DUNIA TUNAPIGA TUUUU
Juzi tu Azam kawatoa kamasi. Ukweli ni kwamba Plateau na Platnum havikuwa vipimo sahihi kwani ni timu zilitoka kwenye ligi iliyokuwa imesimamishwa muda mrefu. Angalau kipimo cha kufanya tathmini sahihi ni kuanzia game ya leo.
 
Kama umeangalia game al haily ni timu ya kawaida wale wa Brazil kina Mello na Luiz wanaonekana wengi hawakuwa fit mpira waliocheza ni wa kawaida sana sema wana kipa na beki bora
Sidhani kama aliyekupa like anajua anachofanya.
 
Juzi tu Azam kawatoa kamasi. Ukweli ni kwamba Plateau na Platnum havikuwa vipimo sahihi kwani ni timu zilitoka kwenye ligi iliyokuwa imesimamishwa muda mrefu. Angalau kipimo cha kufanya tathmini sahihi ni kuanzia game ya leo.

Nyinyi kipimo chenu sahihi ninani?
 
Tegemea uchawi utaaibika ndugu ni suala la muda tu umesahau mwaka jana ulishindwa kuifunga timu iliyokuja kwa Mkapa mkatoa sare na hata juzi juzi ile timu iliyotoka naigeria plateu nayo mkatoa sare siyo kila timu ikija Taifa utaifunga unatakiwa ulijue hilo alafu kumbuka As Vita na Ally Ahly mlikutana nao mwaka juzi wanawajua vizuri ujinga wenu mnaoufanyaga Taifa msitegemee mtawafunga Taifa kwa Ushirikina wenu .Huko Kongo ndiyo uliko mlango wa kwenda kuzimu ukiloga umejiloga
Tumeshapata 3pts kwa As Vita tena kwao, je una hoja nyingine?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Juzi tu Azam kawatoa kamasi. Ukweli ni kwamba Plateau na Platnum havikuwa vipimo sahihi kwani ni timu zilitoka kwenye ligi iliyokuwa imesimamishwa muda mrefu. Angalau kipimo cha kufanya tathmini sahihi ni kuanzia game ya leo.
Sisi siyo Utooo, tumepata 3pts jijini Kishansa, jiji lenye watu 13million(msisitizo ni kuwa tumeshinda AWAY MATCH)
 
Juzi tu Azam kawatoa kamasi. Ukweli ni kwamba Plateau na Platnum havikuwa vipimo sahihi kwani ni timu zilitoka kwenye ligi iliyokuwa imesimamishwa muda mrefu. Angalau kipimo cha kufanya tathmini sahihi ni kuanzia game ya leo.
[emoji867]
 
Tegemea uchawi utaaibika ndugu ni suala la muda tu umesahau mwaka jana ulishindwa kuifunga timu iliyokuja kwa Mkapa mkatoa sare na hata juzi juzi ile timu iliyotoka naigeria plateu nayo mkatoa sare siyo kila timu ikija Taifa utaifunga unatakiwa ulijue hilo alafu kumbuka As Vita na Ally Ahly mlikutana nao mwaka juzi wanawajua vizuri ujinga wenu mnaoufanyaga Taifa msitegemee mtawafunga Taifa kwa Ushirikina wenu .Huko Kongo ndiyo uliko mlango wa kwenda kuzimu ukiloga umejiloga

Mlango wa kwenda kuzimu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bwahahahaaaa ukiloga umejiloga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Juzi tu Azam kawatoa kamasi. Ukweli ni kwamba Plateau na Platnum havikuwa vipimo sahihi kwani ni timu zilitoka kwenye ligi iliyokuwa imesimamishwa muda mrefu. Angalau kipimo cha kufanya tathmini sahihi ni kuanzia game ya leo.

Juzi tu Azam kawatoa kamasi. Ukweli ni kwamba Plateau na Platnum havikuwa vipimo sahihi kwani ni timu zilitoka kwenye ligi iliyokuwa imesimamishwa muda mrefu. Angalau kipimo cha kufanya tathmini sahihi ni kuanzia game ya leo.
Kipimo sahihi ni Leo aya tumeshinda sema jingne bila shaka utasema kipimo sahihi na ele merekh hua mnaama mtani
 
.
IMG-20210213-WA0002.jpg
 
Wasifungike wao nani?

Kwani tulipowafunga last time Taifa nani alitegemea?

Kwny Champions league hakuna timu ya kubeza
 
Tegemea uchawi utaaibika ndugu ni suala la muda tu umesahau mwaka jana ulishindwa kuifunga timu iliyokuja kwa Mkapa mkatoa sare na hata juzi juzi ile timu iliyotoka naigeria plateu nayo mkatoa sare siyo kila timu ikija Taifa utaifunga unatakiwa ulijue hilo alafu kumbuka As Vita na Ally Ahly mlikutana nao mwaka juzi wanawajua vizuri ujinga wenu mnaoufanyaga Taifa msitegemee mtawafunga Taifa kwa Ushirikina wenu .Huko Kongo ndiyo uliko mlango wa kwenda kuzimu ukiloga umejiloga
Simba 1 As vita 0.
 
Back
Top Bottom