Kwa Al Ahly hii ya Klabu ya World Cup, hata Mungu hawezi kuisaidia Simba SC

Kwa Al Ahly hii ya Klabu ya World Cup, hata Mungu hawezi kuisaidia Simba SC

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Kwanza kabisa mimi ni msimbazi damu. Ukinikata damu yangu ni nyekundu kama bendera ya simba ilivyo.

Nimeangalia mechi zote za FIFA Club world cup Qatar hawa waarabu hawana masihara. Bora Ahly iliyopita ila siyo hii ya iliyoshika nafasi ya 3 kwenye mashindano hayo



Msimbazi tuanze kujipanga mapema tunafanyaje? Kama tunategemea Mungu tunajidanganya kabisa Mungu hajihusishi na mambo ya kijinga( yasiyo ya ufalme)

Wana msimbazi tunafanyaje?
 
Al ahly hili kundi ataongoza na mmojawapo kati ya as vita au el mereikh...

Simba haijazoea mpira wa kasi na pressing ambao waarabu ndio wanauweza
Tunachoshariwa tupambanae na hawa Vita na El Mereikh ila Ahly tunaweza pigwa nje ndani
 
Maneno na nyuzi nyiingi za kuiombea mabaya Simba ndo kinawafanya Uto mnafanya vitu vya kipuuzi.

"Mnakusanya wanahabari kwenda kuwaonyesha mabinti wanavyoogelea".

Uongozi wa Mirembe ukowapi unaacha machizi wanajazana pale Jangwani kwanini lakini?
 
Kwamza kabisa mimi ni msimbazi damu. Ukinikata damu yangu ni nyekundu kama bendera ya simba ilivyo.

Nimeangalia mechi zote za FIFA Club world cup Qatar hawa waarabu hawana masihara. Bora Ahly iliyopita ila siyo hii ya iliyoshika nafasi ya 3 kwenye mashindano hayo...

Mungu? Labda mungu wa wahindi ng'ombe sio huyu mwenye mamlaka ya kuamua atakalo!
 
Back
Top Bottom