liwaya
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 2,384
- 1,648
Ha ha ha ha haManeno na nyuzi nyiingi za kuiombea mabaya Simba ndo kinawafanya Uto mnafanya vitu vya kipuuzi.
"Mnakusanya wanahabari kwenda kuwaonyesha mabinti wanavyoogelea".
Uongozi wa Mirembe ukowapi unaacha machizi wanajazana pale Jangwani kwanini lakini?
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app