Kwa Al Ahly hii ya Klabu ya World Cup, hata Mungu hawezi kuisaidia Simba SC

Kwa Al Ahly hii ya Klabu ya World Cup, hata Mungu hawezi kuisaidia Simba SC

Unaona akili zako sasa, unahama hoja unakuja personally, sina uwezo wa kuanzisha forum yangu aisee[emoji119][emoji119]

Hoja hapa ni Simba kuwatoa hao unaowaita Waarabu koko, muda utasema kwa maana Level za Al Ahly na Simba sio za kuzicompare kabisa... Mpira wanaocheza sio wa level za Simba

Ukisema AS Vita mliowabahatisha sawa, bado hatujaona soka la Al Mereikh...

Tuwe na akiba ya maneno [emoji119]

Levels matter
Levels matter. Sawa.
Al Mereikh mchawi wao tunaye. If you know what I mean
 
Kwa simba inawezekana wakashinda shida ni pale wanapomchanganya Mungu na mapaka hapo lazima walambwe na mwarabu na siku hiyo Manara atawageuka simba na kujiunga na waarabu wenzake
 
Uzuri wa waarabu hawa wa mzee Pitso Mosimane, wanaweza wakapiga wote kwenye kundi atakayesalimika sana sana sare labda

Anyway bado kuna dk 90 za mpira ingawa mkwa uwezo walionao jamaa hata mm naona kuna hatari ya timu kupigwa nje ndani.. Na wala sitawalaumu simba, jamaa hawa wa sasa hivi wametoka kumtoa bingwa wa amerika kusini huko
Usisahau kuwa hayo ni maneno yako! Waarabu wako vipi?
 
Kwamza kabisa mimi ni msimbazi damu. Ukinikata damu yangu ni nyekundu kama bendera ya simba ilivyo.

Nimeangalia mechi zote za FIFA Club world cup Qatar hawa waarabu hawana masihara. Bora Ahly iliyopita ila siyo hii ya iliyoshika nafasi ya 3 kwenye mashindano hayo



Msimbazi tuanze kujipanga mapema tunafanyaje? Kama tunategemea Mungu tunajidanganya kabisa Mungu hajihusishi na mambo ya kijinga( yasiyo ya ufalme)

Wana msimbazi tunafanyaje?
Ulimchokoza Mungu amekufanyizia , bwege wewe
 
Kwamza kabisa mimi ni msimbazi damu. Ukinikata damu yangu ni nyekundu kama bendera ya simba ilivyo.

Nimeangalia mechi zote za FIFA Club world cup Qatar hawa waarabu hawana masihara. Bora Ahly iliyopita ila siyo hii ya iliyoshika nafasi ya 3 kwenye mashindano hayo



Msimbazi tuanze kujipanga mapema tunafanyaje? Kama tunategemea Mungu tunajidanganya kabisa Mungu hajihusishi na mambo ya kijinga( yasiyo ya ufalme)

Wana msimbazi tunafanyaje?
Kidimbwi upooooo?????
 
Kwamza kabisa mimi ni msimbazi damu. Ukinikata damu yangu ni nyekundu kama bendera ya simba ilivyo.

Nimeangalia mechi zote za FIFA Club world cup Qatar hawa waarabu hawana masihara. Bora Ahly iliyopita ila siyo hii ya iliyoshika nafasi ya 3 kwenye mashindano hayo



Msimbazi tuanze kujipanga mapema tunafanyaje? Kama tunategemea Mungu tunajidanganya kabisa Mungu hajihusishi na mambo ya kijinga( yasiyo ya ufalme)

Wana msimbazi tunafanyaje?
Nyie si mnategemea nyau?
 
Unaona akili zako sasa, unahama hoja unakuja personally, sina uwezo wa kuanzisha forum yangu aisee[emoji119][emoji119]

Hoja hapa ni Simba kuwatoa hao unaowaita Waarabu koko, muda utasema kwa maana Level za Al Ahly na Simba sio za kuzicompare kabisa... Mpira wanaocheza sio wa level za Simba

Ukisema AS Vita mliowabahatisha sawa, bado hatujaona soka la Al Mereikh...

Tuwe na akiba ya maneno [emoji119]

Levels matter
Levels matter
Vipi huna utabiri wa sudan?
 
Kwamza kabisa mimi ni msimbazi damu. Ukinikata damu yangu ni nyekundu kama bendera ya simba ilivyo.

Nimeangalia mechi zote za FIFA Club world cup Qatar hawa waarabu hawana masihara. Bora Ahly iliyopita ila siyo hii ya iliyoshika nafasi ya 3 kwenye mashindano hayo



Msimbazi tuanze kujipanga mapema tunafanyaje? Kama tunategemea Mungu tunajidanganya kabisa Mungu hajihusishi na mambo ya kijinga( yasiyo ya ufalme)

Wana msimbazi tunafanyaje?
Hakuna timu toka Egypt iliyoshinda Tz inapokuja kucheza na Simba zaidi na mara moja walitoka Sare tena mechi ya marudio ya siku ya pili baada ya mvua siku ya Kwanza kuvunja pambano

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom