Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,357
- 3,550
Levels matter. Sawa.Unaona akili zako sasa, unahama hoja unakuja personally, sina uwezo wa kuanzisha forum yangu aisee[emoji119][emoji119]
Hoja hapa ni Simba kuwatoa hao unaowaita Waarabu koko, muda utasema kwa maana Level za Al Ahly na Simba sio za kuzicompare kabisa... Mpira wanaocheza sio wa level za Simba
Ukisema AS Vita mliowabahatisha sawa, bado hatujaona soka la Al Mereikh...
Tuwe na akiba ya maneno [emoji119]
Levels matter
Al Mereikh mchawi wao tunaye. If you know what I mean