Kwa aliewahi kumpenda sister

Kwa aliewahi kumpenda sister

Kupenda hapana. Ila kupiga wa bure wengi sana. Kuna kile chuo cha iringa pale karibu na Baclays waambie madereva taxi wanakuletea sister(nun) kanona kitu mnato bei rahisi. Wanatia hamu sana ukiwapiga huku wamevaa zile uniform zao
[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Kila mtu atakufaa tu

Kula mzigo kila mtu atajibu, wewe utajibu umezini, na yeye atajibu kuvunja kiapo
Kwani wanapoliwa na mapadre na mafrateri mbona hawafi,au wameandaliwa kwa ajili yao,coz hiyo siri tunayo
 
Nasikia hata wale madereva wao wa kiume na walinzi wa kiume wa ma-convert bila kusahau wapishi wa kiume.
Nawewe kwani unapigwa na wafanyakaz wako wakiume ? Acheni kukariri ninyi viumbe
 
Je umewahi kupendana Na sister?Mimi kuna sister mmoja ametokea kunipenda kinyama.tulikutana mazingira fulani ya kielimu tukapeana namba kwa mawasiliano ya kawaida.baada ya shughuli kumalizika kila MTU alienda kwao(mkoani).

toka Siku iyo huyu mtumishi wa mungu ananitumia SMS za mahaba daily.ananitumia picha WhatsApp pozi za hatari.mwezi wa sita anasema anakuja kunipa tunda.sasa naomba ushauri wenu maana namuogopa mungu.
Wewe unafikiri ataipa ninihiyo mashine
 
Nawewe kwani unapigwa na wafanyakaz wako wakiume ? Acheni kukariri ninyi viumbe

Waulize wasukuma au wanyamwezi wa kweli kwa maana wanaojua kisukuma au kinyamwezi wakuambie hilo jina langu lina maana gani kabla ya ku-assume kuwa ni a female name.
 
Waulize wasukuma au wanyamwezi wa kweli kwa maana wanaojua kisukuma au kinyamwezi wakuambie hilo jina langu lina maana gani kabla ya ku-assume kuwa ni a female name.
Lina maana ya mtoto wa mama mkuu
 
Huyo kula then mrubuni auvue usista ili uoe kabisa

Lakini ninamashaka kama we ndo wa kwanza kwake kufanya hivyo
 
Ungekua unamuogopa Mungu wala usingeliweka akilini, talk less of kutafuta ushauri.
Kwa mtu anaempenda Mungu angemblock huyo sister an kufuta namba yake.
 
Back
Top Bottom