Mkuu jaribu hizo dawa kuzitumia kama zitaweza kukutibia vidonda vyako vya tumbo ukipona ndio tunacho hitaji. La hujapona nitafute mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia vidonda vyako vya tumbo kwa muda wa siku 60 utakuwa umepona maradhi yako.
Kwani Ukiwa na Wadudu aka Bacteria wa Helicobacter pylori kupona kwake ni kazi inachukuwa siku 60 kuweza kupona na kuwauwa hao wadudu aka Bacteria wa Helicobacter pylori.
Lakini kama huna hao wadudu wa Helicobacter pylori kwa dawa zangu ukitumia siku 21 umepona maradhi yako ya vidonda vya tumbo.