Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Wanasayansi ya tiba wako kimya hapa!Hivi ukiongezwa damu ya mtu aliyechanjwa chanjo ya Covid wakati wewe hujachanja je, damu hiyo mpya haiwezi kuhamia kwenye damu yako na chanjo ile kwamba huna haja ya kuchanja tena?
Kuna dawa imeniponya mkuu.Mkuu hao wadudu wamenikamata, na sasa niko kwenye dose ya Heligo kit for H. pylori.
Daktari kaniambia nitumie kwa two consecutive weeks, naona zinanipa unafuu sana.
Nikimaliza dose ntatoa mrejesho
Upo dar,mimi nimeshspona mkuu.Wekeni hapa wapendwa mamangu anasumbuliwa sana
Mkuu Kuna dawa nilitumia hatimae nimepona.wekeni dawa izo tuwasaidie wenzetu
hongera mkuu mm bado nasumbuka sana nambie ni dawa gani nipone maradhi aya na mm natanguliza shukrani mkuu.Mkuu Kuna dawa nilitumia hatimae nimepona.
Mkuu umeongea na kushauri kitu cha msingi sana, watu wengi sana wanaanza kutafuta nakutumia madawa ovyo , kutokana na kuona dalili zinazofanana na ugonjwa wa vidonda vya tumbo bila kupima kipimo kikubwa, inashangaza sana, hata hosp mgonjwa anapoeleza shida zake madaktar hukimbilia kupima damu na choo asipokuta kitu anasema haumwi chochote, mgonjwa anarudi nyumbani akiwa na shida ileile, hali hiyo huwapelekea kuanza kutumia madawa ovyo bila matokeo chanya na kusingizia vidonda haviponi.Je ulifanya kipimo gani kuhakiki ni vidonda vya tumbo?
Kipimo pekee kinachiweza kuthibitisha kikamilifu (confirmatory test) ni Upper GI Endoscopy, yani unawekewa camera kupitia mdomoni kuangalia njia ya chakula ikoje na kuona hivyo vidonda vipoje, vipo wapi na vimefikia hatua gani. Vyengine vyote si confirmatory tests. Je ulifanya hivi?
Wengi wanadhani wana vidonda vya tumbo kumbe magonjwa mengineyo kama Pancreatitis, Inflammatory bowel diseases, Esophagitis, Mallory Weiss Syndrome na mamia ya magonjwa mengine hata Cancer ya Mfuko wa chakula (Gastric Carcinoma).
Onana na daktari, fanya vipimo stahiki kisha tumia dawa kwa umakini, ukiona bado rudi kwa daktari wako.
Ulinunua wapi hii dawa?Kidogo bei yake ni GHALI ila utakuja kushukuru siku moja
When MD speaksJe ulifanya kipimo gani kuhakiki ni vidonda vya tumbo?
Kipimo pekee kinachiweza kuthibitisha kikamilifu (confirmatory test) ni Upper GI Endoscopy, yani unawekewa camera kupitia mdomoni kuangalia njia ya chakula ikoje na kuona hivyo vidonda vipoje, vipo wapi na vimefikia hatua gani. Vyengine vyote si confirmatory tests. Je ulifanya hivi?
Wengi wanadhani wana vidonda vya tumbo kumbe magonjwa mengineyo kama Pancreatitis, Inflammatory bowel diseases, Esophagitis, Mallory Weiss Syndrome na mamia ya magonjwa mengine hata Cancer ya Mfuko wa chakula (Gastric Carcinoma).
Onana na daktari, fanya vipimo stahiki kisha tumia dawa kwa umakini, ukiona bado rudi kwa daktari wako.
Ulitumia dawa Gani mkuu cz hapa natumia PPI ila bdo Sion unafuu wowoteUpo dar,mimi nimeshspona mkuu.