gammaparticles
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 1,407
- 3,855
Anafata AslayHii staili ya masanja ikaja kwa mc pilipili sasa kwa uwoya kwa mtindo huu wasanii watakuwa manabii,mashaik na wachungaji sasa
Simjui wala hanijui ila nimemsikiliza na nimemuelewa.
[/QUOTHuna lolote unataka kumtomber TU nabii wetu
Haha.sawa bhana kila lakheriNapata hisia kwa mchungaji Irene nitapata amani wacha nitulie hapa mkuu.
Na bahati mbaya hata hizo nyasi za kulisha hao kondoo zinaanza kukaukiana sasaSasa manabii na wachungaji ni wengi kuliko kondoo.
Ile dini mliyoletewa na mwarabu au ipi?Uislam hauchezewi hapo ndipo nnapo wakubaligi
Kumbe uwoya kawa nabii mchungaji naye 😄
Ova
Nimekuelewa mkuu.Haujaelewa Soma tena kwa kutulia.
Siyo wa kwako peke yako ni wetu sote.Yesu wangu
Ulimla?Nikikumbuka tu yale m@vuzi yake upako wote unatoka.
Wewe una mamlaka gani ya kutambua kanisa la ukweli na la uwongo?Hilo sio kanisa. Sio kila mtu anayejiita mtumishi ni mtumishi.
Kama alivyoanza Masanja na hela zao za misaada...angalieni vizuri hii inaendaje. Maisha yetu kuna mambo tusipoyaogopa tutapata tabu sana. Tuache kucheza na Mambo ya Mwenyezi Mungu.
Mungu aliamua kuwatumia motume 11 akawaweka kwenye apprentiship ya miaka 3.5Mungu akiamua kukutuma haangalii hayo mambo yenu ya kizungu ya apprenticeship.