Ngadu01
JF-Expert Member
- May 4, 2016
- 503
- 794
Dunia ina Maajabu.....
Habari, nimeileta mada hii jukwaa hili kwa sababu najua ndio sehemu husika.
Nakumbuka ni kama wiki tatu hivi zimepita nikiwa na rafiki zangu kwenye kiosk fulani hivi maeneo ya Ilala ndipo jamaa mmoja wa makamo mwenye asili kama ya asia alitukuta tunabishana kuhusu masuala ya mapenzi ndipo na yeye akaingilia kati akasema 'vijana msipate tabu mbona ni njia rahisi tu kumjua your future wife'
Mimi kwa shauku yangu nikaamuliza kivipi?ndipo akanipa maelekezo yafuatayo...
Aliniambia ikifika mida ya night kali nikiwa peke yangu chumbani niwe na apple jekundu nishike mkono wa kushoto pamoja na kitana mkono wa kulia simama mbele ya kioo tafuna apple huku ukichana nywele kisha sema''Bloody Mary×3 Please come i want to see my real wife..
Kiukweli nilipuuzia sikuchukulia sirious ila jana nikaona kwa nini nisijaribu kweli kidume nikanunua hizo zaga zaga ilipo usiku nikafanya kama nilivyoelekezwa dah aisee sikuamini nilichoona katika kioo changu mpaka nikaogopa baada ya kusema maneno hayo nikamuona binti fulani nilisoma nae ambaye mara mwisho kumuona ni kama miaka 7 sasa.
Nilipoamka leo asubuhi nikagoogle Bloody Mary ili kujua zaidi maelezo niliyakuta ni kwamba huo ni mzimu wa huko kwa wazungu na mpaka hayo yalitnikea yalichambuliwa pia.
Sasa ninachoogopa ni kwakuwa nimeuita huo mzimu hauwezi ukanitokea mara kwa mara?
anayejua zaidi atujuze nawasilisha tafadhali.
Habari, nimeileta mada hii jukwaa hili kwa sababu najua ndio sehemu husika.
Nakumbuka ni kama wiki tatu hivi zimepita nikiwa na rafiki zangu kwenye kiosk fulani hivi maeneo ya Ilala ndipo jamaa mmoja wa makamo mwenye asili kama ya asia alitukuta tunabishana kuhusu masuala ya mapenzi ndipo na yeye akaingilia kati akasema 'vijana msipate tabu mbona ni njia rahisi tu kumjua your future wife'
Mimi kwa shauku yangu nikaamuliza kivipi?ndipo akanipa maelekezo yafuatayo...
Aliniambia ikifika mida ya night kali nikiwa peke yangu chumbani niwe na apple jekundu nishike mkono wa kushoto pamoja na kitana mkono wa kulia simama mbele ya kioo tafuna apple huku ukichana nywele kisha sema''Bloody Mary×3 Please come i want to see my real wife..
Kiukweli nilipuuzia sikuchukulia sirious ila jana nikaona kwa nini nisijaribu kweli kidume nikanunua hizo zaga zaga ilipo usiku nikafanya kama nilivyoelekezwa dah aisee sikuamini nilichoona katika kioo changu mpaka nikaogopa baada ya kusema maneno hayo nikamuona binti fulani nilisoma nae ambaye mara mwisho kumuona ni kama miaka 7 sasa.
Nilipoamka leo asubuhi nikagoogle Bloody Mary ili kujua zaidi maelezo niliyakuta ni kwamba huo ni mzimu wa huko kwa wazungu na mpaka hayo yalitnikea yalichambuliwa pia.
Sasa ninachoogopa ni kwakuwa nimeuita huo mzimu hauwezi ukanitokea mara kwa mara?
anayejua zaidi atujuze nawasilisha tafadhali.