Kwa aliyewahi kusikia kuhusu Bloody Mary

Kwa aliyewahi kusikia kuhusu Bloody Mary

lazima iwe aple au tunda lingne linaweza kukubali?vp km huna nywele utachana nn?
 
Mnaoenda kujaribu hakikisheni mnampiga picha tuone kasura kake mwehh..
 
Alipokuja alitoweka mwenyewe au mlibaki kwa dak kadhaa mkipiga story. ? Na je nikitaka aondoke namwambia blood marry go... au nafanyaje. ? Naomba unijibu mapema ili usiku wa leo niweke alarm kabisa
 
Alipokuja alitoweka mwenyewe au mlibaki kwa dak kadhaa mkipiga story. ? Na je nikitaka aondoke namwambia blood marry go... au nafanyaje. ? Naomba unijibu mapema ili usiku wa leo niweke alarm kabisa
Hahahaha . .
 
Mkuu plz naomba ufafanuzi kwa sisi wenye asili ya vipara kichwani tufanyeje??
Maana nmeona suala la kutana nywele kwenye Uzi wako napata wakati mgumu so cwez kumuona my feature wife???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umekurupuka...hujataja "Mshumaa"

October, 1986 haitasahaulika kwetu kwasababu ya hii.
 
Umekurupuka...hujataja "Mshumaa"

October, 1986 haitasahaulika kwetu kwasababu ya hii.
Mh sijaelewa hapa mkuu embu fafanua kidogo.
Maana nishanunua ma apple matatu hapa na minywele kutwa nzima nimeiacha tim tim pamoja na kuwa nshaoa.
Nataka tu nimuone Mary kama anachura nile kwa macho beiby..
Ngadu01 umenichekesha kweli kweli na asante Kwa kuuita mzimu huo Tanzania . ....tutampa kazi ya kufanya . ..asante sana . .
 
Hapa nishanote ni epo kichana na mshumaa. So nazima taa nawasha mshumaa sieti?
 
Walimfanyia kazi mfalme Suleimani . .lakini kwa ufahamu wangu sio ngono . ..
 
Hapa nishanote ni epo kichana na mshumaa. So nazima taa nawasha mshumaa sieti?
Hakuna haja ya mshumaa inahitajika kuwe na mwanga hafifu ili uweze kuona kwenye hicho kioo mi nilitumia table light ya chumbani kwangu so hata ukitegesha torch ya simu yako sehemu mbona safi tu ili mradi mwanga upatikane
 
Hakuna haja ya mshumaa inahitajika kuwe na mwanga hafifu ili uweze kuona kwenye hicho kioo mi nilitumia table light ya chumbani kwangu so hata ukitegesha torch ya simu yako sehemu mbona safi tu ili mradi mwanga upatikane
LAZIMA KUWA NA APLE VP KWA WENYE VIPARA
 
mi niliwahi kusikia kasuku akisema hivyo baada kukaririshwa na jamaa mmoja hivi alie kua akimtafuta dada alie mgonga na gari na kumzika kabla ya kufa moja kwa moja, akatoka makaburini mpaka nyumbani kwa huyo dada nakumfundisha kasuku kusema blad mer
 
mi niliwahi kusikia kasuku akisema hivyo baada kukaririshwa na jamaa mmoja hivi alie kua akimtafuta dada alie mgonga na gari na kumzika kabla ya kufa moja kwa moja, akatoka makaburini mpaka nyumbani kwa huyo dada nakumfundisha kasuku kusema blad mer
Duh . ...
 
Back
Top Bottom