Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo atakuwa mumeoJe likija dume inamaana mkeo atakuwa jike dume natafakari tu
Hahahaha . .Alipokuja alitoweka mwenyewe au mlibaki kwa dak kadhaa mkipiga story. ? Na je nikitaka aondoke namwambia blood marry go... au nafanyaje. ? Naomba unijibu mapema ili usiku wa leo niweke alarm kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu plz naomba ufafanuzi kwa sisi wenye asili ya vipara kichwani tufanyeje??
Maana nmeona suala la kutana nywele kwenye Uzi wako napata wakati mgumu so cwez kumuona my feature wife???
Mh sijaelewa hapa mkuu embu fafanua kidogo.Umekurupuka...hujataja "Mshumaa"
October, 1986 haitasahaulika kwetu kwasababu ya hii.
Ngadu01 umenichekesha kweli kweli na asante Kwa kuuita mzimu huo Tanzania . ....tutampa kazi ya kufanya . ..asante sana . .
Kati ya saa 8 na saa 9 usiku . ..kazi kweli kweli . .hahahaHapa nishanote ni epo kichana na mshumaa. So nazima taa nawasha mshumaa sieti?
Hakuna haja ya mshumaa inahitajika kuwe na mwanga hafifu ili uweze kuona kwenye hicho kioo mi nilitumia table light ya chumbani kwangu so hata ukitegesha torch ya simu yako sehemu mbona safi tu ili mradi mwanga upatikaneHapa nishanote ni epo kichana na mshumaa. So nazima taa nawasha mshumaa sieti?
LAZIMA KUWA NA APLE VP KWA WENYE VIPARAHakuna haja ya mshumaa inahitajika kuwe na mwanga hafifu ili uweze kuona kwenye hicho kioo mi nilitumia table light ya chumbani kwangu so hata ukitegesha torch ya simu yako sehemu mbona safi tu ili mradi mwanga upatikane
Duh . ...mi niliwahi kusikia kasuku akisema hivyo baada kukaririshwa na jamaa mmoja hivi alie kua akimtafuta dada alie mgonga na gari na kumzika kabla ya kufa moja kwa moja, akatoka makaburini mpaka nyumbani kwa huyo dada nakumfundisha kasuku kusema blad mer