Kwa aliyewahi kusikia kuhusu Bloody Mary

Naona taaratibu mnapewa mafunzo ya kuwa vigagula!
Kwa nini anaitwa bloody??? Angalieni asiwafanye kitoweo....
 
Kama unakipala je??utachana nn hicho chanuo??


Mkuu nahisi ulikuwa woga wako au ndotoni haya mambo hayapo

Ningejarbu ila sasa ninakipara
 
Ngadu01 . ...ulijaribisha? huwa hawana neno kabisa na wanasaidia kwenye mambo mengi . ..beautiful creatures indeed . ...
 
Mkuu plz naomba ufafanuzi kwa sisi wenye asili ya vipara kichwani tufanyeje??
Maana nmeona suala la kutana nywele kwenye Uzi wako napata wakati mgumu so cwez kumuona my feature wife???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hizi bangi si mbaya
Ila namna unavyoinuizia ndio mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…