Hata za kwapa huna? [emoji28] [emoji28] [emoji28]lazima iwe aple au tunda lingne linaweza kukubali?vp km huna nywele utachana nn?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu plz naomba ufafanuzi kwa sisi wenye asili ya vipara kichwani tufanyeje??
Maana nmeona suala la kutana nywele kwenye Uzi wako napata wakati mgumu so cwez kumuona my feature wife???