massoudamour
Member
- Aug 13, 2014
- 17
- 1
Naomba kuuliza , hivi ukimaliza diploma in clinical medicine unaajiriwa kama nani, au unachukua nafasi ipi hospitali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asistant Clinical Ofica
mkuu na mtu aliyesoma certificate in nursing anawezakujiendeleza na kuchukua diproma ya chrinical officer?na kama ni ndio je,ataendelea kucare wagonjwa kama nurse wa kawaida.shukurani mkuu
chrinical officer nayo ni professionalism?
mkuu na mtu aliyesoma certificate in nursing anawezakujiendeleza na kuchukua diproma ya chrinical officer?na kama ni ndio je,ataendelea kucare wagonjwa kama nurse wa kawaida.shukurani mkuu
mkuu na mtu aliyesoma certificate in nursing anawezakujiendeleza na kuchukua diproma ya chrinical officer?na kama ni ndio je,ataendelea kucare wagonjwa kama nurse wa kawaida.shukurani mkuu
chrinical officer nayo ni professionalism?
mkuu masuonline, kwani wote wanaosema/ waliosoma nursing walifeli form four
ina maana wote wanaosoma nursing walichafua form four
nurse hawez kujiendeleza kwa chet cha profession yake(nurse) mpaka asafishe chet cha form four kama kilikuwa sio poa kwa kupata C masomo yote ya sayansi other wise ataishia hapohapo mpaka kiama.