Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Pole. Basi kwa msaada zaidi ntakuwa nakubebisha pm hadi hapo utakapopata mhusika permanent!kule sithubutu ntawafanyia usaili hawa wa mtaani tu..
Tatizo mtaji mkuu sababu itabidi nitafute kaofisi, na tiharahei wakijua watataka kodi. Ila nimegundua ni biashara nzuri sana.Wazo lako ni zuri sana. Cha msingi nakushauri uwe founder wa hiyo kitu. Trust Me huwezi kukosa clients na mwisho wa siku jina lako litakuwa juu sana kijamii na kiuchumi kwa kuweza kuwasaidia watu wengi tu.
Nawajua watu wengi tu watakaofaidika na hii.Wazo lako ni zuri sana. Cha msingi nakushauri uwe founder wa hiyo kitu. Trust Me huwezi kukosa clients na mwisho wa siku jina lako litakuwa juu sana kijamii na kiuchumi kwa kuweza kuwasaidia watu wengi tu.
[emoji1][emoji1] tuanzishe basiiTatizo mtaji mkuu sababu itabidi nitafute kaofisi, na tiharahei wakijua watataka kodi. Ila nimegundua ni biashara nzuri sana.
Penye nia pana njia dada yangu.Tatizo mtaji mkuu sababu itabidi nitafute kaofisi, na tiharahei wakijua watataka kodi. Ila nimegundua ni biashara nzuri sana.
Asante mkuu.. umeniongezea kitu. Sema naonaga kwenye movie tu hizo vitu halafu kibongo bongo watu wanaweza kweli kulipia wapate wapenzi?
una akili sana.Jicho la 3Hivi kwanini Tanzania hakuna kampuni zinazodeal na mambo ya relationship. Kwa mfano mimi niko single na sijioni kumpata mtu sasa naenda kwao waniunganishe na wanaume waliopo single kwenye data base ya kampuni. Au blind dates mbona hatufanyi sisi.
Siongelei kuunganisha watu na madanga hiyo ni kawaida naongelea ile relationship serious kabisa ambayo inaweza kuzaa ndoa.
Njoo gheto nikuombee bintiunalishindaje sasa?