Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
kangekuwa kazuri sijui ingekuwajeBoss wa mhimili akiwa ndani ya private jet na kikundi chake View attachment 2654879
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kangekuwa kazuri sijui ingekuwajeBoss wa mhimili akiwa ndani ya private jet na kikundi chake View attachment 2654879
Wale wanajuwa mambo yakijasusi hizi picha yoooo.... Refer the day the kill Osama and event at white house.... 🌎🌎🌎Boss wa mhimili akiwa ndani ya private jet na kikundi chake View attachment 2654879
Mwendo wa milipuko na mitutu hawana show mbovu hao 😂😂Ndo maana nawapenda Wasomali na Waafghan
Baada ya kazi nzito anakwenda kupumzika kidogo. Mikutano ya kidini na spika wa bunge wapi na wapi!?Presidential jet
View attachment 2654999
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, ameondoka nchini leo kuelekea Marrakesh, Morocco. Dkt. Tulia anatarajiwa kushiriki Mkutano wa Kibunge wa Majadiliano kuhusu Dini mbalimbali utakaofanyika nchini humo Juni 13 - 15, 2023.
Hivi kuna ruhusa kufungua account kwa asie raia kule?Baada ya kazi nzito anakwenda kupumzika kidogo. Mikutano ya kidini na spika wa bunge wapi na wapi!?
Anapewa tuzo kwa kupitisha mauzo ya bandari zetu kwa mwarabuBoss wa mhimili akiwa ndani ya private jet na kikundi chake View attachment 2654879
Sasa hana TAKO wategemea nini?Hajui kuvaa,kanavaa Dela kwenye ndege
Gharama kubwa zingeepukwa kwa kutumia usafiri wa kawaida, haya majitu hayatuonei huruma walipakodiNini cha ajabu hapo Spika kupanda ndege ya Rais/serikali? Mnapenda makasiriko ya reja reja.
Gharama kubwa zingeepukwa kwa kutumia usafiri wa kawaida, haya majitu hayatuonei huruma walipakodi
Hawa ndio wahaini wenyewe siku moja watakuwa raia wa kawaida ,hawatakuwa na chawa ,nguvu ,mamlaka na madaraka.
😁😁Dela bila chura sawa na kanzu tuu
Wametuuza mazimaBoss wa mhimili akiwa ndani ya private jet na kikundi chake View attachment 2654879
Boss wa mhimili akiwa ndani ya private jet na kikundi chake View attachment 2654879
Sina shida ya kupambana nayo mwanga wewe , utaolewa ndugu kwa kuendekeza njaa ndogo ndogoDua la kuku. Pambana na hali yako acha uchawi