Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu...Boss wa mhimili akiwa ndani ya private jet na kikundi chake View attachment 2654879
Inabidi tupate Jerry Ralwings wetu- Wanajeshi amkeni- muje muwakomboe watanzania , au na nyie bado mko kwenye asali?
Na amevaa makusudi akijua mtahama kwenye mjadala wa bandari muanze kujadili Dera😀😀Hii nguo aliyovaa jamani khaa...hivi huwa hawana washauri wa kuvaa nguo husika katika occasion husika???
Mpaka watanzania wenyewe waanzishe movements za kuhitaji msaada wa wajeda, mwanajeshi anaamkaje kupigania watu ambao hawaonekani? Wanaonekana wachache mitandaoniInabidi tupate Jerry Ralwings wetu- Wanajeshi amkeni- muje muwakomboe watanzania , au na nyie bado mko kwenye asali?
Sio na kikundi chake, sema na genge lake. Hela ya mwarabu ni tamu asikuambie mtu.Boss wa mhimili akiwa ndani ya private jet na kikundi chake View attachment 2654879
Hawa wetu hawawexzi. MatumboInabidi tupate Jerry Ralwings wetu- Wanajeshi amkeni- muje muwakomboe watanzania , au na nyie bado mko kwenye asali?
Chawai katika ubora wako katika uchafuGharama gani kubwa. Kwenda Morocco kutokea bongo kwa commercial plane lazima upite Europe/Dubai/Doha wakati hii anaenda straight. Akipanda business class na timu yake plus malazi lazima waongeze siku za safari wangetumia gharama zaidi ya kusafiri private. Acheni makasiriko ya reja reja mtakufa mapema.
Mtu wa hadhi yake hapaswi kuvaa dera lenye rangi bright zina shout namna hiyo. Angevaa neutral colors.Boss wa mhimili akiwa ndani ya private jet na kikundi chake View attachment 2654879
Hapana hajafanya makusudi, huyu mama ndio mapigo yake kila siku. Yaani hajui kuvaa kutokana na status yake kabisa ila hii ya dera la kanga safarini kazidi mweehNa amevaa makusudi akijua mtahama kwenye mjadala wa bandari muanze kujadili Dera[emoji3][emoji3]