To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
KabisaUzee tu, kila kitu kina mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaUzee tu, kila kitu kina mwisho
nonsenseLabda Hemorrhoids si unajua tena ukiwa mwembamba.
Mnadhani kila maradhi yanatokana na unene na wembamba hawana yanayowakumba kiafya?Huyo alivyo mwembamba kuugua labda Malaria na mafua tu.
Kimo chake na umri wake vinamlazimu kuwa makini kiutmbeajiView attachment 2623298
Je, huenda ni macho yangu kuona vibaya?! Mbona kama jirani tembea yake haiko sawa-anaumwa?
Conceille potchio.Bana Lunda .....
Ana ulcers (vidonda vya tumbo since 1990's)Huyo alivyo mwembamba kuugua labda Malaria na mafua tu.
Angalia video vizuri....hapana!
Mosi, ile tembea alivyoshuka kwenye gari si ile tembea yake iliyozoeleka.
Pili, siku zote PK ashukapo kwenye gari huwa mchangamfu na wakati mwingine hutembea kwa mdano fulani hivi wa kisera!
Tatu, huwa ni nadra sana kuendeshwa anapohudhuria eneo lenye uchache wa watu.
Itakuwa ni mninginio wa Konyagi, yeye hulumangia hata ugaliView attachment 2623298
Je, huenda ni macho yangu kuona vibaya?! Mbona kama jirani tembea yake haiko sawa-anaumwa?
Kwa lugha nyingine yupo sana🐒Huyo alivyo mwembamba kuugua labda Malaria na mafua tu.
Yupo sana.Huyo hawezi kutwa na kisukari ama magonjwa ya moyo.Kwa lugha nyingine yupo sana🐒
Au Busha.Labda Hemorrhoids si unajua tena ukiwa mwembamba.
Atakua ana njaa
Sidhani, Wamisri wa kale hawana history ya kuwa na Sickle cell wala MabushaAu Busha.
KP mwanajeshi kamili sio mgambo