imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
The man who single handedly stopped the worst genocide in Africa.General Paul Kagame, intelligence mogul, a man fought liberation war
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The man who single handedly stopped the worst genocide in Africa.General Paul Kagame, intelligence mogul, a man fought liberation war
The man who single handedly stopped the worst genocide in Africa.
Hapo jamaa anamsindika tu akafunge hamna kumkaba😂 na ole wake gorikipa adake shuti la mweshimiwa hata kama ni kishuti uchwara😂😂Conceille potchio.View attachment 2623726
YaahView attachment 2623298
Je, huenda ni macho yangu kuona vibaya?! Mbona kama jirani tembea yake haiko sawa-anaumwa?
Bawaziri nini mkuu?Labda Hemorrhoids si unajua tena ukiwa mwembamba.
Yap ukiwa mtu wa kukaa sana kama Madereva.Bawaziri nini mkuu?
Katika serikali ya wadudu na magonjwa mbalimbali, huwa vijidudu au magonjwa ambayo hupangiwa shift na doria kwenye mwili wa Kagame huwa yana mind sana, yanasema huwa hakuna marupurupuHuyo alivyo mwembamba kuugua labda Malaria na mafua tu.
Udikteta ndio aina pekee ya uongozi inayofaa kutumika huku Afrika.DIKTETA KATEPETA [emoji851]
Ni macho yakoView attachment 2623298
Je, huenda ni macho yangu kuona vibaya?! Mbona kama jirani tembea yake haiko sawa-anaumwa?
aisee, kumbe inasababishwa na kukaa sana ?Yap ukiwa mtu wa kukaa sana kama Madereva.
Na kama tumbo gumu kutokana na Diet ambayo haina fiber.aisee, kumbe inasababishwa na kukaa sana ?
Si mzima ni suala la muda tu.View attachment 2623298
Je, huenda ni macho yangu kuona vibaya?! Mbona kama jirani tembea yake haiko sawa-anaumwa?
We Mnyarwanda?Yes a true Son of Rwanda, and true definition of peace