Kwa anavyoonekana Paul Kagame ni mgonjwa?

Si nilisoma humu kwamba Mwamba ana Saratani, labda ziwe habari za Uzushi
 
Watz kwa kufuatilia yasowahusu mko vizuri,, hamumuoni mama yenu alivyofutuka km kifutu mko bize na mtu asie wahusu kabisa
 
Yaa miguu imekata balance anaonekana kabisa,
Halafu anatembeleaga range huku tz gar ya kawaida kabsa wanatembelea akina bahati bukuku, vunjabei n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…